Surah Qalam aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿سَنَسِمُهُ عَلَى الْخُرْطُومِ﴾
[ القلم: 16]
Tutamtia kovu juu ya pua yake.
Surah Al-Qalam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
We will brand him upon the snout.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tutamtia kovu juu ya pua yake.
Tutambandika alama juu ya pua yake ya kumganda, apate kufedheheka mbele za watu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- (Baba) akasema: Unaichukia miungu yangu, ewe Ibrahim? Kama huachi, basi lazima nitakupiga mawe. Na niondokelee
- Na mnachonga milimani majumba kwa ustadi.
- Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.
- Au nani yule anaye mjibu mwenye shida pale anapo mwomba, na akaiondoa dhiki, na akakufanyeni
- Na mtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni wa kutegemewa.
- Na mkewe Firauni alisema: Atakuwa kiburudisho cha macho kwangu na kwako. Msimuuwe! Huenda akatufaa, au
- KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
- Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe,
- Mwenyezi Mungu ni Mlinzi wa walio amini. Huwatoa gizani na kuwaingiza mwangazani. Lakini walio kufuru,
- Na walio amini watasema: Hivyo hawa ndio wale walio apa ukomo wa viapo vyao kuwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



