Surah Jathiyah aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَيْلٌ لِّكُلِّ أَفَّاكٍ أَثِيمٍ﴾
[ الجاثية: 7]
Ole wake kila mzushi mwenye dhambi!
Surah Al-Jaathiyah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Woe to every sinful liar
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ole wake kila mzushi mwenye dhambi!
Atapata maangamizo makubwa kila anaye mzulia Mwenyezi Mungu uwongo mbaya, na mwenye kukithiri madhambi yake kwa kitendo hicho!
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Au ndio wanachukua waombezi badala ya Mwenyezi Mungu? Sema: Ingawa hawana mamlaka juu ya kitu
- Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.
- Katika wale ambao kwamba wameigawanya dini yao, na wakawa makundi makundi, kila kikundi kinafurahia kilicho
- Na wanapo waona husema: Hakika hawa ndio khasa walio potea.
- Bali wanasema kama walivyo sema watu wa kwanza.
- Na shika Sala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na
- Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
- Isipokuwa wale walio fungamana na watu ambao mna ahadi baina yenu na wao, au wanakujieni
- Sema: Siku ya Ushindi, wale walio kufuru imani yao haitawafaa kitu, wala wao hawatapewa muhula.
- Ni Moto mkali!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Jathiyah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Jathiyah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jathiyah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



