Surah Hijr aya 92 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَوَرَبِّكَ لَنَسْأَلَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ﴾
[ الحجر: 92]
Basi Naapa kwa Mola wako Mlezi! Tutawahoji wote,
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So by your Lord, We will surely question them all
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi Naapa kwa Mola wako Mlezi! Tutawahoji wote.
Ikiwa hiyo hali yao, basi Wallahi kwa Aliye kuumba akakulinda na akakulea, hapana shaka tutawahisabu wote Siku ya Kiyama,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! Sisi hatutakufa,
- Na Pepo italetwa karibu kwa ajili ya wachamngu, haitakuwa mbali.
- Na ni nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye kumbushwa kwa Ishara za Mola wake Mlezi,
- Wale wanao subiri na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
- Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
- Na katika Ishara zake ni usiku na mchana, na jua na mwezi. Basi msilisujudie jua
- Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
- Na akawa mwema kwa wazazi wake, wala hakuwa jabari mua'si.
- Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
- Na utawezaje kuvumilia yale usiyo yajua vilivyo undani wake?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



