Surah Muminun aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ إِنَّكُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ تُبْعَثُونَ﴾
[ المؤمنون: 16]
Kisha hakika nyinyi Siku ya Kiyama mtafufuliwa.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then indeed you, on the Day of Resurrection, will be resurrected.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kisha hakika nyinyi Siku ya Kiyama mtafufuliwa.
Na kisha nyinyi mtafufuliwa Siku ya Kiyama kwa ajili ya kuhisabiwa na kulipwa jaza yenu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi mlio amini! Msimfanyie khiana Mwenyezi Mungu na Mtume, wala msikhini amana zenu, nanyi mnajua.
- Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na kwake mtarejeshwa.
- Na nikamtgenezea mambo vizuri kabisa.
- Sema: Mnaonaje! Ikiwa haya yanatoka kwa Mwenyezi Mungu, nanyi ikawa ndio mmeyakataa, ni nani aliye
- Na Thamudi hakuwabakisha,
- Enyi mlio amini! Zikumbukeni neema za Mwenyezi Mungu zilio juu yenu. Pale yalipo kufikilieni majeshi,
- Na akatoa mkono wake, mara ukawa mweupe kwa watazamao.
- Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
- Na wakasema walio kufuru: Tutapo kuwa mchanga, sisi na baba zetu, hivyo kweli tutakuja tolewa?
- Na haiwi kwa wana-mji tulio uangamiza, ya kwamba hawatarejea,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers