Surah Shuara aya 171 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِلَّا عَجُوزًا فِي الْغَابِرِينَ﴾
[ الشعراء: 171]
Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Except an old woman among those who remained behind.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.
Ila mkewe kizee aliye baki, na hakutoka nao. Yeye akaangamia kwa kufuru zake na ukhaini wake, kwa kuwaunga mkono wakosefu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na amefanya vikutumikieni vilivyomo mbinguni na vilivyomo katika ardhi, vyote vimetoka kwake. Hakika katika hayo
- Na lau kama wangeli simama sawasawa juu ya njia tungeli wanywesha maji kwa wingi,
- Na nani aliye bora kwa dini kuliko yule aliye usilimisha uso wake kwa Mwenyezi Mungu,
- Nasi twazigeuza nyoyo zao na macho yao. Kama walivyo kuwa hawakuamini mara ya kwanza, tunawaacha
- Nenda, wewe na ndugu yako, pamoja na ishara zangu, wala msichoke kunikumbuka.
- Enyi mlio amini! Msiwe kama wale walio kufuru na wakawasema ndugu zao walipo safiri katika
- Kisha akenda kwa ahali zake kwa matao.
- Na haiwafikii Ishara yoyote katika Ishara za Mola wao Mlezi ila wao huwa ni wenye
- Siku tutayo wakusanya wachamngu kuwapeleka kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa ni wageni wake.
- Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers