Surah Bayyinah aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا تَفَرَّقَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَتْهُمُ الْبَيِّنَةُ﴾
[ البينة: 4]
Wala hawakufarikiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia hiyo bayana.
Surah Al-Bayyinah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Nor did those who were given the Scripture become divided until after there had come to them clear evidence.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wala hawakufarikiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia hiyo bayana.
Wala hawakufarikiana walio pewa Kitabu katika Mayahudi na Wakristo, ila baada ya kuwajia hiyo hoja iliyo wazi yenye kuonyesha ya kwamba Muhammad ndiye huyo Mtume wa Mwenyezi Mungu aliye ahidiwa katika Vitabu vyao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi je, mtu aliye na dalili wazi itokayo kwa Mola wake Mlezi, inayo fuatwa na
- Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.
- Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi. Hakika tetemeko la Saa (ya Kiyama) ni jambo kuu.
- Kwa hakika katika haya yapo mazingatio kwa wanao ogopa.
- Kwa makafiri - ambayo hapana awezaye kuizuia -
- Hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye ajuaye zaidi nani aliye ipotea Njia yake, na Yeye
- Je! Hazikukufikieni khabari za walio kabla yenu? Kaumu ya Nuhu, na A'adi, na Thamud, na
- Maamkiano yao siku ya kukutana naye yatakuwa: Salama! Na amewaandalia malipo ya ukarimu.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Siku watakayo waona Malaika haitakuwa furaha siku hiyo kwa wakosefu. Na watasema: Mungu apishe mbali!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Bayyinah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Bayyinah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Bayyinah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers