Surah Shuara aya 61 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلَمَّا تَرَاءَى الْجَمْعَانِ قَالَ أَصْحَابُ مُوسَىٰ إِنَّا لَمُدْرَكُونَ﴾
[ الشعراء: 61]
Na yalipo onana majeshi mawili haya, watu wa Musa wakasema: Hakika sisi bila ya shaka tumepatikana!
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And when the two companies saw one another, the companions of Moses said, "Indeed, we are to be overtaken!"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na yalipo onana majeshi mawili haya, watu wa Musa wakasema: Hakika sisi bila ya shaka tumepatikana!
Walipo onana makundi mawili, watu wa Musa walisema: Hakika Firauni na watu wake watatupata. Basi tutaangamia.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika haya ndiyo mliyo kuwa mkiyatilia shaka.
- Watapata watakacho taka kwa Mola wao Mlezi. Hayo ndiyo malipo ya watendao mema.
- Na ilipo waangukia adhabu wakasema: Ewe Musa! Tuombee kwa Mola wako Mlezi kwa aliyo kuahidi.
- Nawasikitikia waja wangu. Hawajii Mtume ila wao humkejeli.
- Wala si juu yetu ila kufikisha ujumbe ulio wazi.
- Na watasema wale walio fuata: Laiti tungeweza kurudi tukawakataa wao kama wanavyo tukataa sisi! Hivi
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na alikuwa akiwaamrisha watu wake Sala na Zaka, na alikuwa mbele ya Mola wake Mlezi
- Bali sisi tumenyimwa.
- Kisha nikawatangazia kwa kelele, tena nikasema nao kwa siri.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers