Surah Al-Haqqah aya 43 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿تَنزِيلٌ مِّن رَّبِّ الْعَالَمِينَ﴾
[ الحاقة: 43]
Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Surah Al-Haqqah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[It is] a revelation from the Lord of the worlds.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Hii ni uteremsho unao toka kwa Mwenye kuwaangalia walimwengu wote kwa kuwaumba na kuwalea.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mwenyezi Mungu huwaongoa wenye kufuata radhi yake katika njia za salama, na huwatoa katika giza
- Hakika Malaika watawaambia wale ambao wamewafisha nao wamejidhulumu nafsi zao: Mlikuwa vipi? Watasema: Tulikuwa tunaonewa.
- Na wale wanao kishikilia Kitabu, na wakashika Sala - hakika Sisi hatupotezi ujira wa watendao
- Na tumefika kwako kwa Haki, na hakika sisi tunasema kweli.
- Na mti utokao katika mlima wa Sinai, unatoa mafuta na kuwa kitoweo kwa walao.
- Mola wao Mlezi anawabashiria rehema zitokazo kwake, na radhi, na Bustani ambazo humo watapata neema
- Na ingiza mkono wako katika mfuko wako, utatoka mweupe bila ya maradhi. Ni katika Ishara
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
- Ambao wanadumisha Sala zao,
- Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers