Surah Abasa aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قُتِلَ الْإِنسَانُ مَا أَكْفَرَهُ﴾
[ عبس: 17]
Ameangamia mwanaadamu! Nini kinacho mkufurisha?
Surah Abasa in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Cursed is man; how disbelieving is he.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ameangamia mwanaadamu! Nini kinacho mkufurisha?
Ameangamia mwanaadamu! Nini kilicho mfanya akufuru na hali Mwenyezi Mungu amemfanyia hisani zote hizi?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wanao pigana katika Njia yake kwa safu kama jengo lilio
- Na akawapandisha wazazi wake kwenye kiti cha enzi. Na wote wakaporomoka kumsujudia. Na akasema: Ewe
- Enyi wafungwa wenzangu wawili! Je, mabwana wengi wanao farikiana wao kwa wao ni bora au
- Ni sawa sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.
- Na nini kitakujuulisha ni nini huo Moto wa Saqar?
- Basi hatakuwa na nguvu wala msaidizi.
- Na ya kwamba hatapata mtu ila aliyo yafanya mwenyewe?
- Na hawakufarikiana ila baada ya kuwajia ilimu kwa sababu ya husuda iliyo kuwa baina yao.
- Wala msiliane mali zenu kwa baat'ili na kuzipeleka kwa mahakimu ili mpate kula sehemu ya
- Hakika tumekiteremsha katika usiku ulio barikiwa. Hakika Sisi ni Waonyaji.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Abasa with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Abasa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Abasa Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers