Surah Abasa aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قُتِلَ الْإِنسَانُ مَا أَكْفَرَهُ﴾
[ عبس: 17]
Ameangamia mwanaadamu! Nini kinacho mkufurisha?
Surah Abasa in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Cursed is man; how disbelieving is he.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ameangamia mwanaadamu! Nini kinacho mkufurisha?
Ameangamia mwanaadamu! Nini kilicho mfanya akufuru na hali Mwenyezi Mungu amemfanyia hisani zote hizi?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Yeye hahojiwi kwa ayatendayo, na wao ndio wanao hojiwa kwa wayatendayo.
- Enyi watu wangu! Hakika haya maisha ya dunia ni starehe ipitayo tu, na hakika Akhera
- Na ni nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye zuia misikiti ya Mwenyezi Mungu kutajwa ndani
- Hao ndio Mwenyezi Mungu alio walaani, na akawatia uziwi, na akawapofoa macho yao.
- Na wale wanao jitenga na wake zao, kisha wakarudia katika yale waliyo yasema, basi wamkomboe
- Na katika kaumu ya Musa lipo kundi linao waongoa watu kwa haki na kwa haki
- Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
- Na walikuwapo walio kuwa wakisema:
- Basi zitawapotea khabari siku hiyo, nao hawataulizana.
- Anadhani mtu kuwa Sisi hatutaikusanya mifupa yake?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Abasa with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Abasa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Abasa Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



