Surah Infitar aya 18 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ مَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الدِّينِ﴾
[ الانفطار: 18]
Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
Surah Al-Infitar in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then, what can make you know what is the Day of Recompense?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
Tena ni nini kitacho kujuvya ni nini hiyo Siku ya Malipo kwa vitisho vyake na shida zake?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Hakika wewe hutaweza kuvumilia kuwa pamoja nami.
- Hakika katika hayo ipo Ishara. Na hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
- Huyo ndiye Mwenyezi Mungu Mola wenu Mlezi, Muumba wa kila kitu. Hapana mungu ila Yeye;
- Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
- Akasema: Ewe Nuhu! Huyu si katika ahali zako. Mwendo wake si mwema. Basi usiniombe jambo
- Walikanusha kabla yao kaumu ya Nuhu, na kina A'adi na Firauni mwenye majengo.
- Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
- Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu wananunua upotovu na wanakutakeni nanyi mpotee njia?
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Nisamehe na unipe ufalme usio mwelekea yeyote baada yangu. Hakika Wewe
- Na pale tulipomweka Ibrahim pahala penye ile Nyumba tukamwambia: Usinishirikishe na chochote; na isafishe Nyumba
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Infitar with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Infitar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Infitar Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers