Surah Assaaffat aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقَالُوا إِنْ هَٰذَا إِلَّا سِحْرٌ مُّبِينٌ﴾
[ الصافات: 15]
Na husema: Haya si chochote ila ni uchawi tu ulio dhaahiri.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And say, "This is not but obvious magic.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na husema: Haya si chochote ila ni uchawi tu ulio dhaahiri.
Na makafiri husema juu ya Ishara zinazo onyesha uweza wa Mwenyezi Mungu: Haya tunayo yaona si chochote ila ni uchawi tu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha tukawazindua ili tujue ni lipi katika makundi mawili lilio hisabu sawa muda walio kaa.
- Na aliye ileta Kweli na akaithibitisha - hao ndio wachamngu.
- Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na kwake mtarejeshwa.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
- Akasema: Bali amefanya hayo huyu mkubwa wao. Basi waulizeni ikiwa wanaweza kutamka.
- Sema: Uombezi wote uko kwa Mwenyezi Mungu. Ni wake Yeye tu ufalme wa mbingu na
- Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.
- Wakasema: Tumemuamini Mola Mlezi wa viumbe vyote,
- Hakika wanao amirisha misikiti ya Mwenyezi Mungu ni wale wanao muamini Mwenyezi Mungu, na Siku
- Nawe hukuwa unataraji kuletewa Kitabu; lakini ni rehema tu ya Mola wako Mlezi. Basi usiwe
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers