Surah Anam aya 67 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لِّكُلِّ نَبَإٍ مُّسْتَقَرٌّ ۚ وَسَوْفَ تَعْلَمُونَ﴾
[ الأنعام: 67]
Kila khabari ina kipindi chake. Nanyi mtakuja jua.
Surah Al-Anam in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For every happening is a finality; and you are going to know.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kila khabari ina kipindi chake. Nanyi mtakuja jua.
Kila khabari iliyo letwa na Qurani ina wakati wake wa kutimia. Nanyi mtakuja jua ukweli wa khabari hizi zitapo tokea.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sema: Mimi sina mamlaka ya kukudhuruni wala kukuongozeni.
- Na wanapo kutana na walio amini husema: Tumeamini. Na wanapo kuwa peke yao na mashet'ani
- Nasi tukamfunulia Musa kumwambia: Tupa fimbo yako. Mara ikavimeza vyote vile walivyo vibuni.
- Kwani huoni ya kwamba tumewatuma mashet'ani kwa makafiri wawachochee kwa uchochezi?
- Basi maneno gani baada ya haya watayaamini?
- Na tukambainishia zote njia mbili?
- Na tukautia nguvu ufalme wake, na tukampa hikima, na kukata hukumu.
- Na walikadhibisha walio kuwa kabla yao. Na hawakufikilia hata sehemu moja katika kumi ya tulivyo
- Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
- Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anam with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anam Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers