Surah Raad aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Raad aya 19 in arabic text(The Thunder).
  
   
ayat 19 from Surah Ar-Rad

﴿۞ أَفَمَن يَعْلَمُ أَنَّمَا أُنزِلَ إِلَيْكَ مِن رَّبِّكَ الْحَقُّ كَمَنْ هُوَ أَعْمَىٰ ۚ إِنَّمَا يَتَذَكَّرُ أُولُو الْأَلْبَابِ
[ الرعد: 19]

Je! Anaye jua ya kwamba yaliyo teremshwa kwako kutoka kwa Mola wako Mlezi ni Haki ni sawa na aliye kipofu? Wenye akili ndio wanao zingatia,

Surah Ar-Rad in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Then is he who knows that what has been revealed to you from your Lord is the truth like one who is blind? They will only be reminded who are people of understanding -


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Anaye jua ya kwamba yaliyo teremshwa kwako kutoka kwa Mola wako Mlezi ni Haki ni sawa na aliye kipofu? Wenye akili ndio wanao zingatia,


Hakika walio ongoka na walio potoka hawawi sawa. Basi je, anaye jua ya kuwa uliyo teremshiwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu aliye kulea akakuumba akakuteuwa kufikisha ujumbe wake, kuwa ni Haki isiyo na shaka yoyote...je huweza kuwa huyo kama aliye potea akaitupa Haki, hata akawa kama kipofu? Hakika hawatambui Haki wakazingatia utukufu wa Mwenyezi Mungu, ila watu wenye akili ya kufikiri.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 19 from Raad


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
  2. Na Mwenyezi Mungu amewafadhilisha baadhi yenu kuliko wengine katika riziki. Na wale walio fadhilishwa hawarudishi
  3. Sema: Leteni mashahidi wenu watao shuhudia kuwa Mwenyezi Mungu ameharimisha hawa. Basi wakishuhudia, wewe usishuhudie
  4. Kisha akazielekea mbingu, na zilikuwa moshi, akaziambia hizo na ardhi: Njooni, kwa khiari au kwa
  5. Na walimfanyia Mwenyezi Mungu washirika ili wapoteze watu kwenye Njia yake. Sema: Stareheni! Kwani marejeo
  6. Hakika nyinyi ni kitisho zaidi katika vifua vyao kuliko Mwenyezi Mungu. Hayo ni kwa kuwa
  7. Na kabisa usiwe miongoni mwa wale wanao zikanusha Ishara za Mwenyezi Mungu, usije kuwa katika
  8. Lakini Mwenyezi Mungu anayashuhudia aliyo kuteremshia wewe. Ameyateremsha kwa kujua kwake - na Malaika pia
  9. Basi wakajirudi nafsi zao, wakasema: Hakika nyinyi mlikuwa madhaalimu!
  10. Na wanapo kutana na wale walio amini husema: Tumeamini. Na wanapo kuwa peke yao, wao

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Raad with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Raad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Raad Complete with high quality
Surah Raad Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Raad Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Raad Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Raad Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Raad Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Raad Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Raad Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Raad Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Raad Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Raad Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Raad Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Raad Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Raad Al Hosary
Al Hosary
Surah Raad Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Raad Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب