Surah Buruj aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالْيَوْمِ الْمَوْعُودِ﴾
[ البروج: 2]
Na kwa siku iliyo ahidiwa!
Surah Al-Burooj in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [by] the promised Day
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kwa siku iliyo ahidiwa!
Na kwa Siku iliyo ahidiwa kuwa ndiyo Siku ya Hisabu na Malipo,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na walio shirikisha watakapo waona hao walio washirikisha na Mwenyezi Mungu, watasema: Mola wetu Mlezi!
- Na pia wale watatu walio achwa nyuma hata dunia wakaiona dhiki juu ya ukunjufu wake,
- Basi akawatokea watu wake kutoka mihirabuni. Akawaashiria: Msabihini Mwenyezi Mungu asubuhi na jioni.
- Na moyo wa mama yake Musa ukawa mtupu. Alikuwa karibu kumdhihirisha, ingeli kuwa hatukumtia nguvu
- Sema: Hakika mimi ninaogopa adhabu ya Siku Kubwa nikimuasi Mola wangu Mlezi.
- Na tukaacha humo Ishara kwa ajili ya wanao iogopa adhabu chungu.
- Wadumu humo - kituo na makao mazuri kabisa.
- Muwe wenye kutubia kwake, na mcheni Yeye, na shikeni Sala, na wala msiwe katika washirikina.
- Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!
- Na kumbukeni yasomwayo majumbani mwenu katika Aya za Mwenyezi Mungu na hikima. Kwa hakika Mwenyezi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Buruj with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Buruj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Buruj Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



