Surah Yunus aya 97 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَوْ جَاءَتْهُمْ كُلُّ آيَةٍ حَتَّىٰ يَرَوُا الْعَذَابَ الْأَلِيمَ﴾
[ يونس: 97]
Ijapo kuwa itawajia kila Ishara, mpaka waione adhabu iliyo chungu.
Surah Yunus in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Even if every sign should come to them, until they see the painful punishment.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ijapo kuwa itawajia kila Ishara, mpaka waione adhabu iliyo chungu.
Na ukiwajia na kila hoja, na iwe wazi vipi, hawakinaiki. Wataendelea tu na upotovu wao mpaka wamalizikie kupata adhabu chungu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni neema yangu niliyo kuneemesheni, na timizeni ahadi yangu, na Mimi
- Wakasema: Sisi ni wenye nguvu na wakali kwa vita; na amri iko kwako, basi tazama
- Na siku atakapo wakusanya wao na hao wanao waabudu, na akasema: Je! Ni nyinyi mlio
- Ndio tunawahimizia kheri? Lakini wenyewe hawatambui.
- Na wao wanapata kwao manufaa na vinywaji. Basi je, hawashukuru?
- Wanao toa mali zao kwa Njia ya Mwenyezi Mungu, kisha hawafuatishii masimbulizi wala udhia kwa
- Akaambiwa: Ingia Peponi! Akasema: Laiti kuwa watu wangu wangeli jua
- Shikamana na kusamehe, na amrisha mema, na jitenge na majaahili.
- WANAULIZANA nini?
- Na shari ya alivyo viumba,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers