Surah Qasas aya 51 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qasas aya 51 in arabic text(The Stories).
  
   

﴿۞ وَلَقَدْ وَصَّلْنَا لَهُمُ الْقَوْلَ لَعَلَّهُمْ يَتَذَكَّرُونَ﴾
[ القصص: 51]

Na sasa kwa yakini tumewafikishia Neno ili wapate kukumbuka.

Surah Al-Qasas in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We have [repeatedly] conveyed to them the Qur'an that they might be reminded.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na sasa kwa yakini tumewafikishia Neno ili wapate kukumbuka.


Na bila ya shaka Mwenyezi Mungu amewateremshia Qurani kwa utungo, baadhi yake ikifuatia baadhi kwa mujibu wa inavyo takikana na hikima, na kulingana na ahadi, na maonyo, na hadithi, na mazingatio, ili wapate kupima na kuyaamini yaliomo ndani yake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 51 from Qasas


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na hawakuzuiliwa kukubaliwa michango yao ila kwa kuwa walimkataa Mwenyezi Mungu na Mtume wake, wala
  2. Basi Taluti alipo ondoka na majeshi alisema: Mwenyezi Mungu atakujaribuni kwa mto. Atakaye kunywa humo
  3. Na mkumbuke Ismail na Alyasaa na Dhulkifli, na wote hao ni katika walio bora.
  4. Na kumbukeni yasomwayo majumbani mwenu katika Aya za Mwenyezi Mungu na hikima. Kwa hakika Mwenyezi
  5. Angalieni! Nyinyi mnaitwa mtumie katika njia ya Mwenyezi Mungu, na wapo katika nyinyi wanao fanya
  6. Tukawavusha bahari Wana wa Israili, na Firauni na askari wake wakawafuatia kwa dhulma na uadui.
  7. Je! Hawaoni kwamba sisi tumeufanya usiku ili watulie, na mchana wa kuangaza. Hakika katika hayo
  8. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya
  9. Na alipo fikilia utu uzima tulimpa hukumu na ilimu. Na kama hivi tunawalipa wanao tenda
  10. Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qasas with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qasas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qasas Complete with high quality
Surah Qasas Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qasas Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qasas Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qasas Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qasas Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qasas Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qasas Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Qasas Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qasas Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qasas Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qasas Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qasas Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qasas Al Hosary
Al Hosary
Surah Qasas Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qasas Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, April 25, 2025

Please remember us in your sincere prayers