Surah Mursalat aya 44 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ﴾
[ المرسلات: 44]
Hakika ndio kama hivyo tunavyo walipa watendao mema.
Surah Al-Mursalat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, We thus reward the doers of good.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika ndio kama hivyo tunavyo walipa watendao mema.
Hakika Sisi huwalipa mfano wa malipo hayo matukufu watu wema.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa hakika watu hawa wanapenda maisha ya kidunia, na wanaiacha nyuma yao siku nzito.
- Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.
- Sasa wanasema: Ati kweli tutarudishwa kwenye hali ya kwanza?
- Na wale walio kadhibisha Ishara zetu, tutawapururia pole pole kwa namna ambayo wenyewe hawaijui.
- Siku hiyo, basi, itakuwa siku ngumu.
- Mimi si cho chote ila ni Mwonyaji wa dhaahiri shaahiri.
- Na niache Mimi na hao wanao kanusha, walio neemeka; na wape muhula kidogo!
- Bali wanastaajabu kwamba amewafikia mwonyaji kutoka miongoni mwao, na wakasema makafiri: Hili ni jambo la
- Mola wetu Mlezi! Wewe ndiye Mkusanyaji wa watu kwa Siku isiyo na shaka ndani yake.
- Kisha Mola wake Mlezi akamteuwa, naye akamkubalia toba yake, naye akamwongoa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mursalat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mursalat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mursalat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



