Surah Qalam aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qalam aya 17 in arabic text(The Pen).
  
   

﴿إِنَّا بَلَوْنَاهُمْ كَمَا بَلَوْنَا أَصْحَابَ الْجَنَّةِ إِذْ أَقْسَمُوا لَيَصْرِمُنَّهَا مُصْبِحِينَ﴾
[ القلم: 17]

Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.

Surah Al-Qalam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Indeed, We have tried them as We tried the companions of the garden, when they swore to cut its fruit in the [early] morning


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.


Sisi tumewafanyia mtihani watu wa Makka kwa kuwapa neema, nao wakazikufuru; kama tulivyo wafanyia mtihani hao watu wenye shamba, walipo chukua kiapo kuwa watakwenda vuna mazao ya shamba lao asubuhi mapema,

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 17 from Qalam


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na laiti ungeli ona Malaika wanapo wafisha wale walio kufuru wakiwapiga nyuso zao na migongo
  2. Ni ahadi ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu havunji ahadi yake. Lakini watu wengi hawajui.
  3. Wale ambao wameamini, na hawakuchanganya imani yao na dhulma - hao ndio watakao pata amani
  4. Nao hawakuona baya lolote kwao ila kuwa wakimuamini Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Msifiwa,
  5. Lakini mlidhani kwamba Mtume na Waumini hawatarudi kabisa kwa ahali zao, na mkapambiwa hayo katika
  6. Na wa kushotoni; je, ni wepi wa kushotoni?
  7. Walipo ingia kwake na wakasema: Salama! Yeye akasema: Hakika sisi tunakuogopeni.
  8. Na hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila tulimfunulia ya kwamba hapana mungu isipo kuwa Mimi.
  9. Na Sisi tukawadhalilishia. Basi baadhi yao wako wanao wapanda, na baadhi yao wanawala.
  10. Wakasema: Ikiwa huyu ameiba, basi nduguye vile vile aliiba zamani. Lakini Yusuf aliyaweka siri moyoni

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Surah Qalam Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qalam Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qalam Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qalam Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qalam Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qalam Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qalam Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Qalam Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qalam Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qalam Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qalam Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qalam Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qalam Al Hosary
Al Hosary
Surah Qalam Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qalam Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, September 14, 2025

Please remember us in your sincere prayers