Surah Hadid aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hadid aya 21 in arabic text(The Iron).
  
   

﴿سَابِقُوا إِلَىٰ مَغْفِرَةٍ مِّن رَّبِّكُمْ وَجَنَّةٍ عَرْضُهَا كَعَرْضِ السَّمَاءِ وَالْأَرْضِ أُعِدَّتْ لِلَّذِينَ آمَنُوا بِاللَّهِ وَرُسُلِهِ ۚ ذَٰلِكَ فَضْلُ اللَّهِ يُؤْتِيهِ مَن يَشَاءُ ۚ وَاللَّهُ ذُو الْفَضْلِ الْعَظِيمِ
[ الحديد: 21]

Kimbilieni msamaha wa Mola wenu Mlezi, na Pepo ambayo upana wake ni kama upana wa mbingu na ardhi, iliyo wekewa walio muamini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Hiyo ndiyo fadhila ya Mwenyezi Mungu, humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kuu.

Surah Al-Hadid in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Race toward forgiveness from your Lord and a Garden whose width is like the width of the heavens and earth, prepared for those who believed in Allah and His messengers. That is the bounty of Allah which He gives to whom He wills, and Allah is the possessor of great bounty.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kimbilieni msamaha wa Mola wenu Mlezi, na Pepo ambayo upana wake ni kama upana wa mbingu na ardhi, iliyo wekewa walio muamini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Hiyo ndiyo fadhila ya Mwenyezi Mungu, humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kuu.


English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 21 from Hadid


Ayats from Quran in Swahili

  1. Enyi kaumu yetu! Muitikieni Mwenye kuitia kwa Mwenyezi Mungu, na muaminini, Mwenyezi Mungu atakusameheni, na
  2. Na tukamwokoa yeye na Luut'i tukawapeleka kwenye nchi tulio ibariki kwa ajili ya walimwengu wote.
  3. Na ukelele uliwaangamiza wale walio dhulumu, wakapambazukiwa nao ni maiti majumbani mwao.
  4. Siku zitakapo tikisika mbingu kwa mtikiso,
  5. Na wahukumu Watu wa Injili kwa yale aliyo teremsha Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wasio
  6. Na Mwenyezi Mungu huhukumu kwa haki; lakini hao wanao waomba badala yake hawahukumu chochote. Hakika
  7. Enyi watu! Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli. Basi yasikudanganyeni maisha ya dunia,
  8. Na sema: Tendeni vitendo. Na Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Waumini wataviona vitendo vyenu.
  9. Basi akiwa miongoni mwa walio karibishwa,
  10. Hawajui ya kwamba Mwenyezi Mungu anayajua wanayo yaficha na wanayo yatangaza?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hadid with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hadid mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hadid Complete with high quality
Surah Hadid Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hadid Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hadid Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hadid Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hadid Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hadid Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hadid Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hadid Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hadid Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hadid Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hadid Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hadid Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hadid Al Hosary
Al Hosary
Surah Hadid Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hadid Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 18, 2025

Please remember us in your sincere prayers