Surah Hadid aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hadid aya 21 in arabic text(The Iron).
  
   

﴿سَابِقُوا إِلَىٰ مَغْفِرَةٍ مِّن رَّبِّكُمْ وَجَنَّةٍ عَرْضُهَا كَعَرْضِ السَّمَاءِ وَالْأَرْضِ أُعِدَّتْ لِلَّذِينَ آمَنُوا بِاللَّهِ وَرُسُلِهِ ۚ ذَٰلِكَ فَضْلُ اللَّهِ يُؤْتِيهِ مَن يَشَاءُ ۚ وَاللَّهُ ذُو الْفَضْلِ الْعَظِيمِ
[ الحديد: 21]

Kimbilieni msamaha wa Mola wenu Mlezi, na Pepo ambayo upana wake ni kama upana wa mbingu na ardhi, iliyo wekewa walio muamini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Hiyo ndiyo fadhila ya Mwenyezi Mungu, humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kuu.

Surah Al-Hadid in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Race toward forgiveness from your Lord and a Garden whose width is like the width of the heavens and earth, prepared for those who believed in Allah and His messengers. That is the bounty of Allah which He gives to whom He wills, and Allah is the possessor of great bounty.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kimbilieni msamaha wa Mola wenu Mlezi, na Pepo ambayo upana wake ni kama upana wa mbingu na ardhi, iliyo wekewa walio muamini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Hiyo ndiyo fadhila ya Mwenyezi Mungu, humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kuu.


English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 21 from Hadid


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi ikawapata adhabu. Hakika katika hayo ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
  2. Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye.
  3. Na Yeye ndiye aliye kuwekeeni nyota ili mwongoke kwazo katika kiza cha bara na bahari.
  4. Akasema: Nipeni waja wa Mwenyezi Mungu; kwa hakika mimi kwenu ni Mtume Muaminifu.
  5. Na hakika Harun alikwisha waambia kabla yake: Enyi watu wangu! Hakika nyinyi mmetiwa mtihanini tu
  6. Anauingiza usiku katika mchana, na anauingiza mchana katika usiku. Na amelifanya jua na mwezi kutumikia.
  7. Na hakika tumeifanya nyepesi (Qur'ani) kwa ulimi wako, ili uwabashirie kwayo wachamngu, na uwaonye kwayo
  8. Mola wetu Mlezi! Wewe ndiye Mkusanyaji wa watu kwa Siku isiyo na shaka ndani yake.
  9. Humuadhibu amtakaye, na humrehemu amtakaye. Na kwake Yeye mtapelekwa.
  10. Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hadid with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hadid mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hadid Complete with high quality
Surah Hadid Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hadid Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hadid Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hadid Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hadid Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hadid Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hadid Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hadid Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hadid Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hadid Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hadid Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hadid Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hadid Al Hosary
Al Hosary
Surah Hadid Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hadid Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, July 19, 2025

Please remember us in your sincere prayers