Surah Jumuah aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jumuah aya 8 in arabic text(Friday).
  
   

﴿قُلْ إِنَّ الْمَوْتَ الَّذِي تَفِرُّونَ مِنْهُ فَإِنَّهُ مُلَاقِيكُمْ ۖ ثُمَّ تُرَدُّونَ إِلَىٰ عَالِمِ الْغَيْبِ وَالشَّهَادَةِ فَيُنَبِّئُكُم بِمَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
[ الجمعة: 8]

Sema: Hayo mauti mnayo yakimbia, bila ya shaka yatakukuteni. Kisha mtarudishwa kwa Mwenye kuyajua yaliyo fichikana na yanayo onekana. Hapo atakwambieni mliyo kuwa mkiyatenda.

Surah Al-Jumuah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, "Indeed, the death from which you flee - indeed, it will meet you. Then you will be returned to the Knower of the unseen and the witnessed, and He will inform you about what you used to do."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Hayo mauti mnayo yakimbia, bila ya shaka yatakukuteni. Kisha mtarudishwa kwa Mwenye kuyajua yaliyo fichikana na yanayo onekana. Hapo atakwambieni mliyo kuwa mkiyatenda.


Sema: Hayo mauti mnayo yakimbia hamwezi kuyakimbia, bila ya shaka yatakukuteni tu. Kisha mtarudishwa kwa Mwenye kujua ya siri na ya dhaahiri. Na Yeye atakwambieni mliyo kuwa mkiyatenda.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 8 from Jumuah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wakasema: Hakika wewe ni katika walio rogwa.
  2. Lakini Shet'ani alimtia wasiwasi, akamwambia: Ewe Adam! Nikujuulishe mti wa kuishi milele na ufalme usio
  3. Wala hawatakuwa na walinzi wa kuwanusuru mbele ya Mwenyezi Mungu. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemwacha
  4. Na ukiwauliza ni nani aliye waumba? Bila ya shaka watasema: Mwenyezi Mungu! Basi ni wapi
  5. Na Ibrahim alipo sema: Ewe Mola wangu Mlezi! Ujaalie mji huu uwe wa amani, na
  6. Na hivi ndivyo tunavyo wajaribu wao kwa wao, ili waseme: Ni hao ndio Mwenyezi Mungu
  7. Wanawake waovu ni wa wanaume waovu, na wanaume waovu ni wa wanawake waovu. Na wanawake
  8. Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
  9. Yusuf akasema: Nifanye mshika khazina za nchi. Kwani hakika mimi ni mlinzi mjuzi.
  10. Lakini walio dhulumu waliibadili kauli isiyo kuwa waliyo ambiwa. Kwa hivyo tukaiteremsha juu ya wale

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jumuah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jumuah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jumuah Complete with high quality
Surah Jumuah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jumuah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jumuah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jumuah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jumuah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jumuah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jumuah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Jumuah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jumuah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jumuah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jumuah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jumuah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jumuah Al Hosary
Al Hosary
Surah Jumuah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jumuah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, June 20, 2025

Please remember us in your sincere prayers