Surah Zumar aya 40 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Zumar aya 40 in arabic text(The Crowds).
  
   

﴿مَن يَأْتِيهِ عَذَابٌ يُخْزِيهِ وَيَحِلُّ عَلَيْهِ عَذَابٌ مُّقِيمٌ﴾
[ الزمر: 40]

Ni nani itakaye mfikia adhabu ya kumhizi, na itakaye mshukia adhabu ya daima.

Surah Az-Zumar in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


To whom will come a torment disgracing him and on whom will descend an enduring punishment."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ni nani itakaye mfikia adhabu ya kumhizi, na itakaye mshukia adhabu ya daima.


Waambie, kwa kuwapa ahadi: Enyi watu! Ishikilieni hiyo hiyo njia yenu ya ukafiri na kukadhibisha, na mimi hakika ninashikilia aliyo niamrisha Mola wangu Mlezi. Mtakuja ona nani katika sisi atakaye fikiwa na adhabu ya kumdhalilisha, na atakaye teremkiwa na adhabu ya daima isiyo mwondokea?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 40 from Zumar


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wale walio hama kwa ajili ya Mwenyezi Mungu baada ya kudhulumiwa, bila ya shaka
  2. Hao ndio tulio wapa Vitabu na hukumu na Unabii. Ikiwa hawa watayakataa hayo, basi tumekwisha
  3. Basi yule bwana alipoona kanzu yake imechanwa kwa nyuma, alisema: Hakika haya ni katika vitimbi
  4. Akasema: Leo hapana lawama juu yenu. Mwenyezi Mungu atakusameheni, naye ni Mwingi wa kurehemu kuliko
  5. Katika wale ambao kwamba wameigawanya dini yao, na wakawa makundi makundi, kila kikundi kinafurahia kilicho
  6. Zitakapo kuwa pingu shingoni mwao na minyororo, huku wanabururwa
  7. Na wakati tulipo waleta kundi la majini kuja kwako kusikiliza Qur'ani. Basi walipo ihudhuria walisema:
  8. Hiyo ni mipaka ya Mwenyezi Mungu. Na anaye mt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, Yeye
  9. Je! Hakumbuki mwanaadamu ya kwamba tulimuumba kabla, na hali hakuwa chochote?
  10. Na ambaye ndiye ananilisha na kuninywesha.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Zumar with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Zumar mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zumar Complete with high quality
Surah Zumar Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Zumar Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Zumar Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Zumar Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Zumar Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Zumar Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Zumar Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Zumar Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Zumar Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Zumar Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Zumar Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Zumar Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Zumar Al Hosary
Al Hosary
Surah Zumar Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Zumar Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, December 1, 2025

Please remember us in your sincere prayers