Surah Jathiyah aya 26 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jathiyah aya 26 in arabic text(The Kneeling Down).
  
   

﴿قُلِ اللَّهُ يُحْيِيكُمْ ثُمَّ يُمِيتُكُمْ ثُمَّ يَجْمَعُكُمْ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ لَا رَيْبَ فِيهِ وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَ النَّاسِ لَا يَعْلَمُونَ﴾
[ الجاثية: 26]

Sema: Mwenyezi Mungu anakuhuisheni, kisha anakufisheni, kisha anakukusanyeni Siku ya Kiyama isiyo na shaka. Lakini watu wengi hawajui.

Surah Al-Jaathiyah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, "Allah causes you to live, then causes you to die; then He will assemble you for the Day of Resurrection, about which there is no doubt, but most of the people do not know."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Mwenyezi Mungu anakuhuisheni, kisha anakufisheni, kisha anakukusanyeni Siku ya Kiyama isiyo na shaka. Lakini watu wengi hawajui.


Ewe Muhammad! Waambie: Mwenyezi Mungu amekupeni uhai duniani nanyi hamkuwa chochote, kisha anakufisheni unapo timia wakati wenu. Kisha atakukusanyeni Siku ya Kiyama, na hapana shaka ya kukusanywa huko. Lakini wengi wa watu hawaujui uwezo wa Mwenyezi Mungu wa kufufua, kwa sababu ya mapuuza yao kuzingatia dalili ziliopo. Na huyo Muweza wa hayo pia ni Muweza wa kuwaleta baba zenu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 26 from Jathiyah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Sema: Mola wetu Mlezi atatukusanya, kisha atatuhukumu kwa haki; na Yeye ndiye Hakimu Mwenye kujua.
  2. Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,
  3. Na ni vyake Yeye viliomo katika mbingu na ardhi. Na Dini ni yake Yeye daima.
  4. Na Ismail, na Al Yasaa, na Yunus, na Lut'. Na wote tuliwafadhilisha juu ya walimwengu
  5. Ewe Nabii! Wahimize Waumini wende vitani. Wakiwapo kati yenu ishirini wanao subiri watawashinda mia mbili.
  6. Hakika hao mnao waomba asiye kuwa Mwenyezi Mungu ni waja mfano wenu nyinyi. Hebu waombeni,
  7. Bali lawama ipo kwa wale wanao wadhulumu watu, na wanafanya jeuri katika nchi bila ya
  8. Na walio amini na dhuriya zao wakawafuata kwa Imani tutawakutanisha nao dhuriya zao, na wala
  9. Na Wallahi! Nitayafanyia vitimbi masanamu yenu haya baada ya mkisha geuka kwenda zenu.
  10. Sisi tunajua vyema kabisa sababu wanayo sikilizia wanapo kusikiliza, na wanapo nong'ona. Wanapo sema hao

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jathiyah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jathiyah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jathiyah Complete with high quality
Surah Jathiyah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jathiyah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jathiyah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jathiyah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jathiyah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jathiyah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jathiyah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Jathiyah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jathiyah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jathiyah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jathiyah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jathiyah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jathiyah Al Hosary
Al Hosary
Surah Jathiyah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jathiyah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, July 14, 2025

Please remember us in your sincere prayers