Surah Anam aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anam aya 21 in arabic text(The Cattle).
  
   

﴿وَمَنْ أَظْلَمُ مِمَّنِ افْتَرَىٰ عَلَى اللَّهِ كَذِبًا أَوْ كَذَّبَ بِآيَاتِهِ ۗ إِنَّهُ لَا يُفْلِحُ الظَّالِمُونَ
[ الأنعام: 21]

Na nani dhaalimu zaidi kuliko anaye mzulia uwongo Mwenyezi Mungu, na akazikanusha Ishara zake? Hakika madhaalimu hawafanikiwi.

Surah Al-Anam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And who is more unjust than one who invents about Allah a lie or denies His verses? Indeed, the wrongdoers will not succeed.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na nani dhaalimu zaidi kuliko anaye mzulia uwongo Mwenyezi Mungu, na akazikanusha Ishara zake? Hakika madhaalimu hawafanikiwi.


Na hapana mtu aliye zidi kuidhulumu nafsi yake na Haki, kuliko anaye mzulia Mwenyezi Mungu uwongo, na akadai kuwa Yeye Subhanahu ana mwana au mshirika, au akamwambatisha lolote lisilo laiki yake, au akazikanya dalili zenye kuonyesha Umoja wake Mwenyezi Mungu na ukweli wa Mitume wake. Hakika madhaalimu hawatopata kheri duniani wala Akhera.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 21 from Anam


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
  2. Na hatukuwatuma kabla yako Mitume wowote ila kwa hakika na yakini walikuwa wakila chakula, na
  3. Mtume ameamini yaliyo teremshwa kwake kutoka kwa Mola Mlezi wake, na Waumini vile vile. Wote
  4. Akasema: Naam! Nanyi bila ya shaka mtakuwa katika wa karibu nami.
  5. Sema: Toeni mkipenda msipende. Hakitopokelewa kitu kwenu, kwani nyinyi ni watu wapotovu.
  6. Hizi ni katika khabari za ghaibu tulizo kufunulia. Na hukuwa pamoja nao walipo azimia shauri
  7. Na wengi wao hawafuati ila dhana tu. Na dhana haifai kitu mbele ya haki. Hakika
  8. Na siku ambayo mwenye kudhulumu atajiuma mikono yake, na huku anasema: Laiti ningeli shika njia
  9. Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume
  10. Na tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Anam with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Anam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anam Complete with high quality
Surah Anam Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Anam Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Anam Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Anam Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Anam Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Anam Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Anam Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Anam Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Anam Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Anam Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Anam Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Anam Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Anam Al Hosary
Al Hosary
Surah Anam Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Anam Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, July 14, 2025

Please remember us in your sincere prayers