Surah Ad Dukhaan aya 34 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَيَقُولُونَ﴾
[ الدخان: 34]
Hakika hawa wanasema:
Surah Ad-Dukhaan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, these [disbelievers] are saying,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika hawa wanasema:
Hakika hawa wanao kadhibisha kufufuliwa bila ya shaka wanasema: Hapana kufa ila kwa haya haya mauti yetu ya kwanza ya duniani, wala sisi hatutafufuliwa tena.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Lakini wale walio amini na wakatenda mema, hao watapata ujira usio kwisha.
- Na yanapo geuzwa macho yao kuelekea watu wa Motoni, watasema: Mola Mlezi wetu! Usitujaalie kuwa
- Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
- Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
- Na mkitaka kubadilisha mke mahali pa mke, na hali mmoja wao mmempa chungu ya mali,
- Kabisa kusikudanganye kubakia kutangatanga kwa walio kufuru katika nchi.
- Naapa kwa umri wako! Hakika hao walikuwa katika ulevi wao, wakihangaika ovyo.
- Kesha usiku kucha, ila kidogo tu!
- Aseme msemaji mmoja miongoni mwao: Hakika mimi nalikuwa na rafiki
- Isipo kuwa Iblisi; alijivuna na akawa katika makafiri.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



