Surah Ad Dukhaan aya 34 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَيَقُولُونَ﴾
[ الدخان: 34]
Hakika hawa wanasema:
Surah Ad-Dukhaan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, these [disbelievers] are saying,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika hawa wanasema:
Hakika hawa wanao kadhibisha kufufuliwa bila ya shaka wanasema: Hapana kufa ila kwa haya haya mauti yetu ya kwanza ya duniani, wala sisi hatutafufuliwa tena.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Alikunja kipaji na akageuka,
- Hakika mimi nimemkuta mwanamke anawatawala, naye amepewa kila kitu, na anacho kiti cha enzi kikubwa.
- Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu, wala mama yako hakuwa kahaba.
- Hawatausikia mvumo wake, na wao watadumu katika yale zinayo yatamani nafsi zao.
- Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.
- Wakasema: Nani aliye ifanyia haya miungu yetu? Hakika huyu ni katika walio dhulumu.
- Nusu yake, au ipunguze kidogo.
- Na hakika tulimtuma Nuhu kwa watu wake, akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu. Nyinyi
- Hakika ni juu yetu kuonyesha uwongofu.
- Wamepigwa na udhalili popote wanapo kutikana, isipo kuwa wakishika kamba ya Mwenyezi Mungu na kamba
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers