Surah Ad Dukhaan aya 34 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَيَقُولُونَ﴾
[ الدخان: 34]
Hakika hawa wanasema:
Surah Ad-Dukhaan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, these [disbelievers] are saying,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika hawa wanasema:
Hakika hawa wanao kadhibisha kufufuliwa bila ya shaka wanasema: Hapana kufa ila kwa haya haya mauti yetu ya kwanza ya duniani, wala sisi hatutafufuliwa tena.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Si dhambi juu ya walio amini na wakatenda mema kwa walivyo vila (zamani) maadamu wakichamngu
- Na uelekeze uso wako kwenye Dini ya Kweli, wala usiwe katika washirikina.
- Wala wewe huwaombi ujira kwa haya. Hayakuwa haya ila ni mawaidha kwa walimwengu wote.
- Katika makalio ya haki kwa Mfalme Mwenye uweza.
- Mwenyezi Mungu ndiye Muumba wa kila kitu, na Yeye ndiye Mlinzi juu ya kila kitu.
- Hao ndio watapata adhabu mbaya kabisa, na hao katika Akhera ndio watapata khasara zaidi.
- Wewe ndio unamshughulikia?
- Basi walipo kuja wachawi, Musa aliwaambia: Tupeni mnavyo tupa!
- Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.
- Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapo leta moshi ulio dhaahiri,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers