Surah Ghafir aya 22 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ghafir aya 22 in arabic text(The Forgiver (God)).
  
   
ayat 22 from Surah Ghafir

﴿ذَٰلِكَ بِأَنَّهُمْ كَانَت تَّأْتِيهِمْ رُسُلُهُم بِالْبَيِّنَاتِ فَكَفَرُوا فَأَخَذَهُمُ اللَّهُ ۚ إِنَّهُ قَوِيٌّ شَدِيدُ الْعِقَابِ
[ غافر: 22]

Hayo ni kwa sababu walikuwa wanawajia Mitume wao kwa hoja zilizo wazi, lakini wakawakataa, ndipo Mwenyezi Mungu akawakamata. Bila ya shaka Yeye ni Mwenye nguvu, Mkali wa kuadhibu.

Surah Ghafir in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


That was because their messengers were coming to them with clear proofs, but they disbelieved, so Allah seized them. Indeed, He is Powerful and severe in punishment.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hayo ni kwa sababu walikuwa wanawajia Mitume wao kwa hoja zilizo wazi, lakini wakawakataa, ndipo Mwenyezi Mungu akawakamata. Bila ya shaka Yeye ni Mwenye nguvu, Mkali wa kuadhibu.


English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 22 from Ghafir


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na haiwezekani kwa Nabii yeyote kufanya khiyana. Na atakaye fanya khiyana, atayaleta Siku ya Kiyama
  2. Mwenyezi Mungu anataka kukubainishieni na kukuongozeni nyendo za walio kuwa kabla yenu, na akurejezeni kwenye
  3. Kisha tukawatuma Mitume wetu, mmoja baada ya mmoja. Kila umma alipo wafikia Mtume wao walimkanusha.
  4. Hakika tumekuteremshia Ishara zilizo wazi na hapana wanao zikataa ila wapotovu.
  5. Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
  6. Mnamdhania nini Mola Mlezi wa walimwengu wote?
  7. Chukua sadaka katika mali zao, uwasafishe na uwatakase kwazo, na uwaombee rehema. Hakika maombi yako
  8. Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada ya matunda yataning'inia mpaka chini.
  9. Sema: Siku ya Ushindi, wale walio kufuru imani yao haitawafaa kitu, wala wao hawatapewa muhula.
  10. Na wale ambao hawatoi ushahidi wa uwongo, na pindi wapitapo penye upuuzi, hupita kwa hishima

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ghafir with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ghafir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghafir Complete with high quality
Surah Ghafir Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ghafir Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ghafir Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ghafir Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ghafir Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ghafir Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ghafir Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ghafir Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ghafir Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ghafir Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ghafir Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ghafir Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ghafir Al Hosary
Al Hosary
Surah Ghafir Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ghafir Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, April 28, 2025

Please remember us in your sincere prayers