Surah Mulk aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذَا أُلْقُوا فِيهَا سَمِعُوا لَهَا شَهِيقًا وَهِيَ تَفُورُ﴾
[ الملك: 7]
Watakapo tupwa humo watausikia mngurumo wake na huku inafoka.
Surah Al-Mulk in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
When they are thrown into it, they hear from it a [dreadful] inhaling while it boils up.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Watakapo tupwa humo watausikia mngurumo wake na huku inafoka.
Wakitiwa humo watasikia sauti mbaya ya kuchusha, na huo moto unatokota kwa ukali,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ama yule anaye ogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi, na akajizuilia nafsi yake
- Walizikadhibisha Ishara zetu zote, nasi tukawashika kama anavyo shika Mwenye nguvu Mwenye uweza.
- Watasema: Ni vya Mwenyezi Mungu! Sema: Basi, je, hamkumbuki?
- Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane.
- Na wao ati husema kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana!
- Na hakika Nuhu alitwita, na Sisi ni bora wa waitikiaji.
- Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu.
- Naapa kwa pepo zinazo tawanya,
- Wala mimi sikutakini ujira juu yake; ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu
- Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mulk with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mulk mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mulk Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



