Surah Mulk aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذَا أُلْقُوا فِيهَا سَمِعُوا لَهَا شَهِيقًا وَهِيَ تَفُورُ﴾
[ الملك: 7]
Watakapo tupwa humo watausikia mngurumo wake na huku inafoka.
Surah Al-Mulk in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
When they are thrown into it, they hear from it a [dreadful] inhaling while it boils up.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Watakapo tupwa humo watausikia mngurumo wake na huku inafoka.
Wakitiwa humo watasikia sauti mbaya ya kuchusha, na huo moto unatokota kwa ukali,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na mlipo sema: Ewe Musa! Hatuwezi kuvumilia chakula cha namna moja tu, basi tuombee kwa
- Na ama wale walio tenda uovu, basi makaazi yao ni Motoni. Kila wakitaka kutoka humo
- Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.
- Hakika walio amini na wakatenda mema watapata Bustani zenye mito ipitayo kati yake. Huko ndiko
- Hao ndio walio na uwongofu utokao kwa Mola wao Mlezi, na hao ndio wenye kufanikiwa.
- Hata tukiwa mifupa iliyo bunguliwa?
- Na ili nyoyo za wasio amini Akhera zielekee hayo, nao wayaridhie na wayachume wanayo yachuma.
- Akaitupa. Mara ikawa nyoka anaye kwenda mbio.
- Na hakika tulikuumbeni, kisha tukakutieni sura, kisha tukawaambia Malaika: Msujudieni Adam. Basi wakasujudu isipo kuwa
- Wakasema: Je! Umetujia ili ututenge mbali na miungu yetu? Basi tuletee hayo unayo tuahidi ikiwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mulk with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mulk mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mulk Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers