Surah Mulk aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِذَا أُلْقُوا فِيهَا سَمِعُوا لَهَا شَهِيقًا وَهِيَ تَفُورُ﴾
[ الملك: 7]
Watakapo tupwa humo watausikia mngurumo wake na huku inafoka.
Surah Al-Mulk in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
When they are thrown into it, they hear from it a [dreadful] inhaling while it boils up.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Watakapo tupwa humo watausikia mngurumo wake na huku inafoka.
Wakitiwa humo watasikia sauti mbaya ya kuchusha, na huo moto unatokota kwa ukali,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na pale Ibrahim alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Hakika mimi ninajitenga mbali na
- Basi walio amini na wakatenda mema watapata maghfira na riziki za ukarimu.
- Huu ni uwongofu. Na wale wale walio zikataa Ishara za Mola wao Mlezi watapata adhabu
- Wameridhia kuwa pamoja na wabakiao nyuma, na nyoyo zao zikapigwa muhuri; kwa hivyo hawafahamu.
- Na hayo tuliyo kufunulia kutoka Kitabuni ni Kweli yenye kusadikisha yaliyo kuwa kabla yake. Hakika
- Yeye ndiye Mwenye kujua ya siri, wala hamdhihirishii yeyote siri yake,
- Basi usiwat'ii makafiri. Na pambana nao kwayo kwa Jihadi kubwa.
- Je! Afanyae ibada nyakati za usiku kwa kusujudu na kusimama akitahadhari na Akhera, na akitaraji
- Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
- Na tukautia nguvu ufalme wake, na tukampa hikima, na kukata hukumu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Mulk with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Mulk mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mulk Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



