Surah shura aya 27 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah shura aya 27 in arabic text(The Consultation).
  
   

﴿۞ وَلَوْ بَسَطَ اللَّهُ الرِّزْقَ لِعِبَادِهِ لَبَغَوْا فِي الْأَرْضِ وَلَٰكِن يُنَزِّلُ بِقَدَرٍ مَّا يَشَاءُ ۚ إِنَّهُ بِعِبَادِهِ خَبِيرٌ بَصِيرٌ
[ الشورى: 27]

Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli wakunjulia riziki waja wake, basi bila ya shaka wangeli panda kiburi katika dunia. Lakini anaiteremsha kwa kipimo akitakacho. Hakika Yeye anawajua vyema waja wake na anawaona.

Surah Ash_shuraa in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And if Allah had extended [excessively] provision for His servants, they would have committed tyranny throughout the earth. But He sends [it] down in an amount which He wills. Indeed He is, of His servants, Acquainted and Seeing.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli wakunjulia riziki waja wake, basi bila ya shaka wangeli panda kiburi katika dunia. Lakini anaiteremsha kwa kipimo akitakacho. Hakika Yeye anawajua vyema waja wake na anawaona.


Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli wakunjulia waja wake wote, kama watakavyo, basi bila ya shaka wangeli panda kiburi katika ardhi wakafanya dhulma. Lakini Mwenyezi Mungu humkunjulia riziki amtakaye, na humdhikisha amtakaye, kwa mujibu wa hikima yake. Hakika Mwenyezi Mungu anayajua vyema mambo yote ya waja wake, ya siri na dhaahiri. Basi Yeye humkadiria kila mmoja kwa linalo msilihi kwa mujibu wa hikima yake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 27 from shura


Ayats from Quran in Swahili


Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah shura with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah shura mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter shura Complete with high quality
Surah shura Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah shura Bandar Balila
Bandar Balila
Surah shura Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah shura Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah shura Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah shura Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah shura Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah shura Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah shura Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah shura Fares Abbad
Fares Abbad
Surah shura Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah shura Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah shura Al Hosary
Al Hosary
Surah shura Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah shura Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب