Surah Duha aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مَا وَدَّعَكَ رَبُّكَ وَمَا قَلَىٰ﴾
[ الضحى: 3]
Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.
Surah Ad-Dhuha in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Your Lord has not taken leave of you, [O Muhammad], nor has He detested [you].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.
Ewe Muhammad! Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukuchukia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mwenyezi Mungu atawadhihaki wao na atawawacha katika upotofu wao wakitangatanga ovyo.
- Na sasa kwa yakini tumewafikishia Neno ili wapate kukumbuka.
- Basi nakuonyeni na Moto unao waka!
- Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?
- Na mlipo sema: Ewe Musa! Hatutakuamini mpaka tumwone Mwenyezi Mungu waziwazi. Ikakunyakueni radi nanyi mnaangalia.
- Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?
- Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza; na tumezitia pazia nyoyo zao wasije kuyafahamu. Na upo
- Kumkomboa mtumwa;
- Akamfundisha kubaini.
- Humuomba yule ambaye bila ya shaka dhara yake ipo karibu zaidi kuliko nafuu yake. Kwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Duha with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Duha mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Duha Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



