Surah Hijr aya 15 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَقَالُوا إِنَّمَا سُكِّرَتْ أَبْصَارُنَا بَلْ نَحْنُ قَوْمٌ مَّسْحُورُونَ﴾
[ الحجر: 15]
Basi wangeli sema: Macho yetu yamelevywa, bali sisi wenyewe tumerogwa.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They would say, "Our eyes have only been dazzled. Rather, we are a people affected by magic."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi wangeli sema: Macho yetu yamelevywa, bali sisi wenyewe tumerogwa.
Bado wasingeli amini, na wangesema: Macho yetu yamefumbwa tusione, na yamefunikwa. Bali hayo si lolote ila ni uchawi tu, tumerogwa! Basi hapana faida ya ishara yoyote maadamu nyoyo zao zimeenea ukafiri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tuliwajaalia dhuriya zake ndio wenye kubakia.
- Na Wallahi! Nitayafanyia vitimbi masanamu yenu haya baada ya mkisha geuka kwenda zenu.
- Sema: Mwaonaje, yakiwa maji yenu yamedidimia chini, nani atakueleteeni maji yanayo miminika?
- Na enyi watu wangu! Kwa nini mimi nakuiteni kwenye uwokofu, nanyi mnaniita kwenye Moto?
- Je! Huoni kwamba Mwenyezi Mungu amevidhalilisha kwenu viliomo katika ardhi, na marikebu zipitazo baharini kwa
- Na hakika tulimtuma Musa pamoja na Ishara zetu na uthibitisho ulio wazi
- Bali hii leo, watasalimu amri.
- Au waliweza kupitisha amri yao? Bali ni Sisi ndio tunao pitisha.
- Mola wetu Mlezi! Hakika unaye mtia Motoni umemhizi; na walio dhulumu hawana wasaidizi.
- Wote hao si sawa sawa. Miongoni mwa Watu wa Kitabu wamo watu walio simama baraabara,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers