Surah Muminun aya 34 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَئِنْ أَطَعْتُم بَشَرًا مِّثْلَكُمْ إِنَّكُمْ إِذًا لَّخَاسِرُونَ﴾
[ المؤمنون: 34]
Na nyinyi mkimt'ii mtu kama nyinyi basi hakika mtakuwa khasarani.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And if you should obey a man like yourselves, indeed, you would then be losers.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na nyinyi mkimtii mtu kama nyinyi basi hakika mtakuwa khasarani.
Na wakawahadharisha kwa nguvu na mkazo, wakiwaambia: Mkimtii mtu aliye kama nyinyi kwa utu wake, basi nyinyi hakika mtakuwa mmekhasiri kwa kuwa hamtapata manufaa yo yote mkimfuata.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
- Hao watakuwa katika Mabustani, wawe wanaulizana
- Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika
- Kisha baada yake tukawatuma Mitume kwa watu wao. Nao wakawajia kwa Ishara zilizo wazi. Lakini
- Kisha tukakufunulia ya kwamba ufuate mila ya Ibrahim, mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina.
- Na kwa usiku unapo pungua,
- Wala hawatayatamani kabisa, kwa sababu ya iliyo kwisha yatanguliza mikono yao. Na Mwenyezi Mungu anawajua
- Hakika ilikuwapo Ishara kwa (watu wa nchi ya) Sabaa katika maskani yao - bustani mbili,
- Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Mafupa yangu yamedhoofika, na kichwa kinameremeta kwa mvi; wala, Mola wangu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers