Surah Naziat aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَقُولُونَ أَإِنَّا لَمَرْدُودُونَ فِي الْحَافِرَةِ﴾
[ النازعات: 10]
Sasa wanasema: Ati kweli tutarudishwa kwenye hali ya kwanza?
Surah An-Naziat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They are [presently] saying, "Will we indeed be returned to [our] former state [of life]?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Sasa wanasema: Ati kweli tutarudishwa kwenye hali ya kwanza?
Watu hawa husema duniani kwa kukanya kufufuliwa: Ati tutarudishwa sisi baada ya kwisha kufa, tuumbwe tena kama tulivyo kuwa?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Watadumu humo; hawatataka kuondoka.
- Isipo kuwa wale waja wako miongoni mwao walio khitariwa.
- Na tuliwakhiari kwa ujuzi wetu kuliko walimwengu wenginewe.
- Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
- Ama wale ambao nyuso zao zitanawiri watakuwa katika rehema ya Mwenyezi Mungu. Wao humo watadumu.
- Akasema: Bali tupeni nyinyi! Tahamaki kamba zao na fimbo zao zikaonekana mbele yake, kwa uchawi
- Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
- Je, wamejiaminisha na mipango ya Mwenyezi Mungu? Kwani hawajiaminishi na mipango ya Mwenyezi Mungu ila
- Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike.
- Au unawaomba ujira, na wao wanaemewa na gharama hiyo?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naziat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naziat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naziat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



