Surah Yusuf aya 10 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yusuf aya 10 in arabic text(Joseph).
  
   
ayat 10 from Surah Yusuf

﴿قَالَ قَائِلٌ مِّنْهُمْ لَا تَقْتُلُوا يُوسُفَ وَأَلْقُوهُ فِي غَيَابَتِ الْجُبِّ يَلْتَقِطْهُ بَعْضُ السَّيَّارَةِ إِن كُنتُمْ فَاعِلِينَ﴾
[ يوسف: 10]

Akasema msemaji kati yao: Msimuuwe Yusuf. Lakini mtumbukizeni ndani ya kisima. Wasafiri watakuja mwokota; kama nyinyi mna sharti ya kufanya jambo.

Surah Yusuf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Said a speaker among them, "Do not kill Joseph but throw him into the bottom of the well; some travelers will pick him up - if you would do [something]."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Akasema msemaji kati yao: Msimuuwe Yusuf. Lakini mtumbukizeni ndani ya kisima. Wasafiri watakuja mwokota; kama nyinyi mna sharti ya kufanya jambo.


Mmoja wao katika wasemaji alisema: Msimuuwe Yusuf. Hayo ni makosa makubwa. Lakini mtupeni asipo onekana ndani ya kisima, baadhi ya wapita njia watakuja mwokota, watapo tumbukiza ndoo yao kisimani. Hao watakwenda naye pahala pambali nanyi na baba yenu vile vile. Haya ikiwa nyinyi mna lazima mumpeleke mbali na mtimize kwa kitendo hayo mtakayo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 10 from Yusuf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wakasema: Ewe Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tunaogopa asije akapindukia mipaka juu yetu au kufanya
  2. Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,
  3. Wala Sisi hatukuwadhulumu, bali wao ndio walio kuwa madhaalimu.
  4. Au mnazo ahadi za viapo juu yetu za kufika Siku ya Kiyama ya kuwa hakika
  5. Basi tumeifanya nyepesi hii Qur'ani kwa ulimi wako, ili wapate kukumbuka.
  6. Kwani hamwoni ya kwamba Mwenyezi Mungu amevifanya vikutumikieni viliomo mbinguni na kwenye ardhi, na akakujalizieni
  7. Na vipi nivikhofu hivyo mnavyo vishirikisha, hali nyinyi hamkhofu kuwa nyinyi mmemshirikisha Mwenyezi Mungu na
  8. Wao hawana ujuzi wa jambo hili, wala baba zao. Ni neno kuu hilo litokalo vinywani
  9. Na atakaye wageuzia mgongo wake siku hiyo - isipo kuwa kwa mbinu za vita au
  10. Na wanao jitahidi kuzipinga Aya zetu hao ndio watu wa Motoni.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
Surah Yusuf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yusuf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yusuf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yusuf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yusuf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yusuf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yusuf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Yusuf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yusuf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yusuf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yusuf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yusuf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yusuf Al Hosary
Al Hosary
Surah Yusuf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yusuf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, November 18, 2025

Please remember us in your sincere prayers