Surah Ahqaf aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ahqaf aya 3 in arabic text(The Sand-Dunes).
  
   

﴿مَا خَلَقْنَا السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا إِلَّا بِالْحَقِّ وَأَجَلٍ مُّسَمًّى ۚ وَالَّذِينَ كَفَرُوا عَمَّا أُنذِرُوا مُعْرِضُونَ
[ الأحقاف: 3]

Hatukuziumba mbingu na ardhi wala yaliyomo baina yake ila kwa haki na kwa muda maalumu. Na walio kufuru wanayapuuza yale wanayo onywa.

Surah Al-Ahqaaf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


We did not create the heavens and earth and what is between them except in truth and [for] a specified term. But those who disbelieve, from that of which they are warned, are turning away.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hatukuziumba mbingu na ardhi wala yaliyomo baina yake ila kwa haki na kwa muda maalumu. Na walio kufuru wanayapuuza yale wanayo onywa.


Hatukuziumba mbingu na ardhi na vyote vilio baina yake ila kufuatana na sharia zilizo thibiti, kwa makusudio yanayo ambatana na hikima, na kwa muda maalumu ambao baada yake utakwisha. Na wale wanao ukataa ukweli huu wanapuuza yale waliyo onywa kwayo, ya kuumbwa kupya siku watakapo fufuliwa watu kwa ajili ya malipo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 3 from Ahqaf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Tunajua ya kwamba yanakuhuzunisha wanayo yasema. Basi hakika wao hawakukanushi wewe, lakini hao madhaalimu wanazikataa
  2. Siku hiyo walio kufuru na wakamuasi Mtume watatamani ardhi isawazishwe juu yao. Wala hawataweza kumficha
  3. Hakika Mwenyezi Mungu anakuamrisheni mzirudishe amana kwa wenyewe. Na mnapo hukumu baina ya watu mhukumu
  4. Wakamkanusha. Basi tukamwokoa, pamoja na walio kuwa naye, katika jahazi. Na tukawafanya wao ndio walio
  5. Watakao kuja na mema, watapata bora kuliko hayo. Nao watasalimika na mahangaiko ya Siku hiyo.
  6. Hizi ni Aya za Mwenyezi Mungu tunakusomea kwa haki. Na hakika wewe ni miongoni mwa
  7. Na wale walio amini na wakatenda mema tutawaingiza katika Pepo zipitazo mito kati yake kwa
  8. Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!
  9. Kifuate cha kufuatia.
  10. Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, Mwenye salama,

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ahqaf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ahqaf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahqaf Complete with high quality
Surah Ahqaf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ahqaf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ahqaf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ahqaf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ahqaf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ahqaf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ahqaf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ahqaf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ahqaf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ahqaf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ahqaf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ahqaf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ahqaf Al Hosary
Al Hosary
Surah Ahqaf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ahqaf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, December 24, 2025

Please remember us in your sincere prayers