Surah Falaq aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمِن شَرِّ النَّفَّاثَاتِ فِي الْعُقَدِ﴾
[ الفلق: 4]
Na shari ya wanao pulizia mafundoni,
Surah Al-Falaq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And from the evil of the blowers in knots
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na shari ya wanao pulizia mafundoni,
Na shari ya anaye pita baina ya watu kwa sababu ya kuwafisidi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na walisema: Hapana ila huu uhai wetu wa duniani - twafa na twaishi, na hapana
- Humuingiza amtakaye katika rehema yake. Na wenye kudhulumu amewawekea adhabu iliyo chungu.
- Na mengine hamwezi kuyapata bado, Mwenyezi Mungu amekwisha yazingia. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza wa
- Bali hii leo, watasalimu amri.
- Enyi wanangu! Nendeni mkamtafute Yusuf na nduguye, wala msikate tamaa na faraji ya Mwenyezi Mungu.
- Enyi mlio amini! Mnapo kopeshana deni kwa muda ulio wekwa, basi andikeni. Na mwandishi aandike
- Mtapitapi, apitaye akifitini,
- Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi. Hakika tetemeko la Saa (ya Kiyama) ni jambo kuu.
- Na humo tuliwaandikia ya kwamba roho kwa roho, na jicho kwa jicho, na pua kwa
- Na kwa wenye kukataza mabaya.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Falaq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Falaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Falaq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



