Surah Yasin aya 19 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yasin aya 19 in arabic text(yaseen).
  
   
ayat 19 from Surah Ya-Sin

﴿قَالُوا طَائِرُكُم مَّعَكُمْ ۚ أَئِن ذُكِّرْتُم ۚ بَلْ أَنتُمْ قَوْمٌ مُّسْرِفُونَ
[ يس: 19]

Wakasema: Ukorofi wenu mnao wenyewe! Je! Ni kwa kuwa mnakumbushwa? Ama nyinyi ni watu walio pindukia mipaka.

Surah Ya-Sin in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They said, "Your omen is with yourselves. Is it because you were reminded? Rather, you are a transgressing people."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wakasema: Ukorofi wenu mnao wenyewe! Je! Ni kwa kuwa mnakumbushwa? Ama nyinyi ni watu walio pindukia mipaka.


Wale Wajumbe wakasema: Ukorofi mnao nyinyi wenyewe, kwa hizo kufuru zenu. Badala ya kuwaidhika kwa mambo yenye kheri kwenu wenyewe, mnatutuhumu sisi kuwa ni wakorofi, na mnatutishia kutupa adhabu chungu? Lakini nyinyi ni watu mlio pindukia mipaka ya Haki na Uadilifu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 19 from Yasin


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na tulimpa Luqman hikima, tukamwambia: Mshukuru Mwenyezi Mungu. Na mwenye kushukuru basi hakika anashukuru kwa
  2. Mungu wenu ni Mungu Mmoja. Lakini wasio iamini Akhera nyoyo zao zinakataa, nao wanajivuna.
  3. Na wapigie mfano wa watu wawili: mmoja wao tulimpa vitalu viwili vya mizabibu, na tukavizungushia
  4. Na wale walio wafanya walinzi wengine badala yake Yeye, Mwenyezi Mungu ni Mwangalizi juu yao.
  5. Na mitende mirefu yenye makole yaliyo zaa kwa wingi,
  6. Kimenyooka sawa, ili kitoe onyo kali kutoka kwake, na kiwabashirie Waumini watendao mema kwamba watapata
  7. Ufalme wa haki siku hiyo utakuwa wa Arrahman, Mwingi wa Rehema, na itakuwa siku ngumu
  8. Na hakika laana yangu itakuwa juu yako mpaka Siku ya Malipo.
  9. Kwa siku ya kupambanua!
  10. Na hapana shaka Mwenyezi Mungu atawatambulisha walio amini, na atawatambulisha wanaafiki.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Surah Yasin Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yasin Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yasin Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yasin Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yasin Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yasin Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yasin Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Yasin Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yasin Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yasin Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yasin Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yasin Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yasin Al Hosary
Al Hosary
Surah Yasin Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yasin Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 19, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب