Surah Tawbah aya 37 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Tawbah aya 37 in arabic text(The Repentance).
  
   

﴿إِنَّمَا النَّسِيءُ زِيَادَةٌ فِي الْكُفْرِ ۖ يُضَلُّ بِهِ الَّذِينَ كَفَرُوا يُحِلُّونَهُ عَامًا وَيُحَرِّمُونَهُ عَامًا لِّيُوَاطِئُوا عِدَّةَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ فَيُحِلُّوا مَا حَرَّمَ اللَّهُ ۚ زُيِّنَ لَهُمْ سُوءُ أَعْمَالِهِمْ ۗ وَاللَّهُ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الْكَافِرِينَ
[ التوبة: 37]

Bila ya shaka kuakhirisha (miezi) ni kuzidi katika kukufuru; kwa hayo hupotezwa walio kufuru. Wanauhalalisha mwaka mmoja na kuharimisha mwaka mwingine, ili wafanye kuwa sawa idadi ya ile (miezi) aliyo itukuza Mwenyezi Mungu. Kwa hivyo huhalalisha alivyo viharimisha Mwenyezi Mungu. Wamepambiwa ubaya wa vitendo vyao hivi. Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu makafiri.

Surah At-Tawbah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Indeed, the postponing [of restriction within sacred months] is an increase in disbelief by which those who have disbelieved are led [further] astray. They make it lawful one year and unlawful another year to correspond to the number made unlawful by Allah and [thus] make lawful what Allah has made unlawful. Made pleasing to them is the evil of their deeds; and Allah does not guide the disbelieving people.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Bila ya shaka kuakhirisha (miezi) ni kuzidi katika kukufuru; kwa hayo hupotezwa walio kufuru. Wanauhalalisha mwaka mmoja na kuharimisha mwaka mwingine, ili wafanye kuwa sawa idadi ya ile (miezi) aliyo itukuza Mwenyezi Mungu. Kwa hivyo huhalalisha alivyo viharimisha Mwenyezi Mungu. Wamepambiwa ubaya wa vitendo vyao hivi. Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu makafiri.


Na hakukuwa kuichelewesha miezi mitakatifu, au baadhi yake, kuliko alivyo iweka Mwenyezi Mungu, ila ni kuzidi ukafiri, kama walivyo kuwa wakifanya watu wa kijahiliya. Hao makafiri wakizidisha hivyo kuongeza upotovu juu ya upotovu! Waarabu wakati wa ujuhali walikuwa hufanya mwezi uliyo harimishwa kupigana vita kuwa ni wa halali, pindi wakihitajia kupigana. Na hufanya mwezi ulio halalishwa ndio ulio harimishwa. Na wakisema: Mwezi kwa mwezi. Yaani kulipizia ipate kutimia idadi ile aliyo harimisha Mwenyezi Mungu. Matamanio yao yamewapendezeshea kitendo chao hicho kiovu. Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu walio shikilia kukataa kuifuata Njia ya kwendea Kheri.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 37 from Tawbah


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Tawbah with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Tawbah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tawbah Complete with high quality
    Surah Tawbah Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Tawbah Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Tawbah Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Tawbah Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Tawbah Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Tawbah Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Tawbah Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Tawbah Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Tawbah Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Tawbah Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Tawbah Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Tawbah Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Tawbah Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Tawbah Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Tawbah Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, April 8, 2025

    Please remember us in your sincere prayers