Surah Ahzab aya 65 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿خَالِدِينَ فِيهَا أَبَدًا ۖ لَّا يَجِدُونَ وَلِيًّا وَلَا نَصِيرًا﴾
[ الأحزاب: 65]
Watadumu humo milele. Hawampati mlinzi wala wa kuwanusuru.
Surah Al-Ahzab in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Abiding therein forever, they will not find a protector or a helper.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Watadumu humo milele. Hawampati mlinzi wala wa kuwanusuru.
Hawatatoka humo kabisa. Hawatampata wa kuchukua dhamana ya kuwahami, wala wa kuwatetea.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na walio kanusha Ishara zetu ni viziwi na mabubu waliomo gizani. Mwenyezi Mungu humwachia kupotea
- Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnazikataa Ishara za Mwenyezi Mungu ilhali nyinyi mnashuhudia?
- Ili msidhulumu katika mizani.
- Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?
- Hata ilipo kuja amri yetu, na tanuri ikafoka maji, tulisema: Pakia humo wawili wawili, dume
- Na yule aliye amini alisema: Enyi watu wangu! Nifuateni mimi, nitakuongozeni njia ya uwongozi mwema.
- Kisha akaigeukia kuipiga kwa mkono wa kulia.
- Na hatukuziumba mbingu na ardhi na viliomo ndani yao bure. Hiyo ni dhana ya walio
- Hukuwa wewe ila ni mwonyaji.
- Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ahzab with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ahzab mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ahzab Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



