Surah Zukhruf aya 41 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَإِمَّا نَذْهَبَنَّ بِكَ فَإِنَّا مِنْهُم مُّنتَقِمُونَ﴾
[ الزخرف: 41]
Na hata tukikuondoa, Sisi tutalipiza kisasi chetu kwao.
Surah Az-Zukhruf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And whether [or not] We take you away [in death], indeed, We will take retribution upon them.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na hata tukikuondoa, Sisi tutalipiza kisasi chetu kwao.
Basi tukikushika tukakufisha kabla hatuja kuonyesha adhabu yao, na kifua chako kikatua kwa hayo, na pia vifua vya Waumini, alaa kulli hali, Sisi bila ya shaka tutawaadhibu duniani na Akhera.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Jueni kwamba Mwenyezi Mungu huifufua ardhi baada ya kufa kwake. Tumekubainishieni Ishara ili mpate kuzingatia.
- Au atawaidhika, na mawaidha yamfae?
- (Mwenyezi Mungu) akasema: Hakika wewe ni katika walio pewa muhula
- Anataka kukutoeni katika nchi yenu kwa uchawi wake. Basi mna shauri gani?
- Kwa hakika hao ambao kwa kumwogopa Mola wao Mlezi wananyenyekea,
- Je! Mnayastaajabia maneno haya?
- Na Luut'i tukampa hukumu na ilimu na tukamwokoa na ule mji ulio kuwa ukifanya maovu.
- Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao
- Alif Lam Ra. Hizo ni Aya za Kitabu chenye Hikima.
- Je! Wameambizana kwa haya? Bali hawa ni watu waasi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zukhruf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zukhruf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zukhruf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب