Surah Qadr aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَيْلَةُ الْقَدْرِ خَيْرٌ مِّنْ أَلْفِ شَهْرٍ﴾
[ القدر: 3]
Laylatul Qadri ni bora kuliko miezi elfu.
Surah Al-Qadr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The Night of Decree is better than a thousand months.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Laylatul Qadri ni bora kuliko miezi elfu.
Usiku wa Qadr na Sharaf, Cheo na Utukufu, ni bora kuliko miezi elfu, kwa kuwa umekhusika kwa kuteremka ndani yake Qurani tukufu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nao wakalikata jambo lao hili mapande mapande baina yao. Wote watarudi kwetu.
- Sema: Kweli imefika, na uwongo haujitokezi, wala haurudi.
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
- Na anapo tajwa Mwenyezi Mungu peke yake nyoyo za wasio iamini Akhera huchafuka. Na wanapo
- Kwa yakini tukiona unavyo geuza geuza uso wako mbinguni. Basi tutakuelekeza kwenye Kibla ukipendacho. Basi
- Na miji iliyo pinduliwa, ni Yeye aliye ipindua.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na katika Ishara zake ni kuwa amekuumbieni wake zenu kutokana na nafsi zenu ili mpate
- Nanyi mtakuja jua ni nani itakaye mfikia adhabu ya kumhizi, na itakaye mteremkia adhabu ya
- Na tukawavusha bahari Wana wa Israili, wakafika kwa watu wanao abudu masanamu yao. Wakasema: Ewe
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qadr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qadr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qadr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



