Surah Assaaffat aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ إِلَٰهَكُمْ لَوَاحِدٌ﴾
[ الصافات: 4]
Hakika Mungu wenu bila ya shaka ni Mmoja.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, your God is One,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika Mungu wenu bila ya shaka ni Mmoja.
Hakika Mungu wenu anaye faa kuabudiwa bila ya shaka ni Mmoja tu. Hana mshirika wake, kwa dhati, wala kitendo, wala sifa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nabii ni bora zaidi kwa Waumini kuliko nafsi zao. Na wake zake ni mama zao.
- Mola wetu Mlezi! Wape wao adhabu mara mbili, na uwalaani laana kubwa.
- Je! Mmemuona Lata na Uzza?
- Kama wanaafiki na wale wenye maradhi nyoyoni mwao, na waenezao fitna katika Madina hawatoacha, basi
- Na ni wa Mwenyezi Mungu ufalme wa mbingu na ardhi, na kwa Mwenyezi Mungu ndio
- Sema: Mwenyezi Mungu anakuhuisheni, kisha anakufisheni, kisha anakukusanyeni Siku ya Kiyama isiyo na shaka. Lakini
- Na bila ya shaka tumewapigia watu mifano ya kila namna katika hii Qur'ani ili wapate
- Badala ya Mwenyezi Mungu, yeye huomba kisicho mdhuru wala kumnufaisha. Huko ndiko kupotolea mbali!
- Na hapana mnyama katika ardhi, wala ndege anaye ruka kwa mbawa zake mbili, ila ni
- Akasema: Leo hapana lawama juu yenu. Mwenyezi Mungu atakusameheni, naye ni Mwingi wa kurehemu kuliko
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



