Surah Qalam aya 48 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Qalam aya 48 in arabic text(The Pen).
  
   

﴿فَاصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ وَلَا تَكُن كَصَاحِبِ الْحُوتِ إِذْ نَادَىٰ وَهُوَ مَكْظُومٌ﴾
[ القلم: 48]

Basi ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi, wala usiwe kama mmezwa na samaki, alipo nadi naye kazongwa.

Surah Al-Qalam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Then be patient for the decision of your Lord, [O Muhammad], and be not like the companion of the fish when he called out while he was distressed.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Basi ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi, wala usiwe kama mmezwa na samaki, alipo nadi naye kazongwa.


Basi wewe subiri kwa tunavyo wapa muhula na kukuakhirisha kukuletea manusura yetu juu yao. Wala usiwe kama Yunus, aliye mezwa na samaki, akawa na haraka na kuwaghadhibikia watu wake, alipo mnadia Mola wake Mlezi, naye kajaa hasira na ghadhabu, akitaka waadhibiwe kwa haraka.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 48 from Qalam


Ayats from Quran in Swahili

  1. Enyi Wana wa Israili! Hakika tulikuokoeni na adui yenu, na tukakuahidini upande wa kulia wa
  2. Na anaye tenda mema, naye ni Muumini, basi hatakhofu kudhulumiwa wala kupunjwa.
  3. (Musa) akasema: Hayo ndiyo tuliyo kuwa tunayataka. Basi wakarudi nyuma kwa kufuata njia waliyo jia.
  4. Na vivi hivi tumemfanyia kila Nabii adui miongoni mwa wakosefu, na Mola wako Mlezi anatosha
  5. Na pindi wakikuhoji, basi sema: Mimi nimeusalimisha uso wangu kumwelekea Mwenyezi Mungu, na kadhaalika walio
  6. Siku ambayo mtu atakumbuka aliyo yafanya,
  7. Kutokana na mbegu ya uzazi inapo miminwa.
  8. Mzinifu mwanamke na mzinifu mwanamume, mtandikeni kila mmoja katika wao bakora mia. Wala isikushikeni huruma
  9. Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.
  10. Usiwadhanie kabisa wale wanao furahia waliyo yafanya, na wakapenda kusifiwa kwa wasiyo yatenda, usiwadhanie kuwa

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Qalam with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Qalam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qalam Complete with high quality
Surah Qalam Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Qalam Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Qalam Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Qalam Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Qalam Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Qalam Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Qalam Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Qalam Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Qalam Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Qalam Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Qalam Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Qalam Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Qalam Al Hosary
Al Hosary
Surah Qalam Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Qalam Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, April 22, 2025

Please remember us in your sincere prayers