Surah Hijr aya 76 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَإِنَّهَا لَبِسَبِيلٍ مُّقِيمٍ﴾
[ الحجر: 76]
Na miji hii ipo kwenye njia inayo pitiwa.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And indeed, those cities are [situated] on an established road.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na miji hii ipo kwenye njia inayo pitiwa.
Na mabaki ya mji huu yapo yamesalia. Nayo yapo njiani katika njia inayo pitiwa na watu. Anaye taka kuwaidhika kwayo anaweza kuwaidhika.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na migomba iliyo pangiliwa,
- Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.
- Na ulipo ondoka tu msafara baba yao alisema: Hakika mimi nasikia harufu ya Yusuf, lau
- Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
- Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu anavyo piga muhuri kwenye nyoyo za wasio jua.
- Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na hiyo ndiyo Haki itokayo kwa
- Na tulipo funga agano na Wana wa Israili: Hamtamuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu; na muwafanyie
- Na akawa mwema kwa wazazi wake, wala hakuwa jabari mua'si.
- Au iko kwao siri, basi wao wanaiandika?
- Na wamechukua badala yake miungu ambayo haiumbi chochote, bali hiyo inaumbwa, haijimilikii nafsi zao madhara
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



