Surah Hijr aya 27 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَالْجَانَّ خَلَقْنَاهُ مِن قَبْلُ مِن نَّارِ السَّمُومِ﴾
[ الحجر: 27]
Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the jinn We created before from scorching fire.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
Na makhaluku wengine ni majini, ambao tuliwaumba mbele, alipo umbwa asili yake Iblisi kutokana na moto mkali mno unao toka katika tundu za mwili wa mtu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na atabakia Mwenyewe Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
- Mola Mlezi wa Musa na Haarun.
- NA WALISEMA wale wasio taraji kukutana nasi: Mbona sisi hatuteremshiwi Malaika au hatumwoni Mola wetu
- Na ambaye amekadiria na akaongoa,
- Sema: Hivyo nyinyi mnamkataa aliye umba ardhi katika siku mbili, na mnamfanyia washirika? Huyu ndiye
- Na tukaacha humo Ishara kwa ajili ya wanao iogopa adhabu chungu.
- Na lau tungeli warehemu na tukawaondolea shida waliyo nayo bila ya shaka wangeli endelea katika
- Na wanapo kujieni husema: Tumeamini. Lakini hakika wao wameingia na ukafiri wao, na wametoka nao
- Kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu za daraja.
- Na nini kitakacho kujuulisha siku ya kupambanua ni nini?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers