Surah Naziat aya 44 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِلَىٰ رَبِّكَ مُنتَهَاهَا﴾
[ النازعات: 44]
Kwa Mola wako Mlezi ndio mwisho wake.
Surah An-Naziat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
To your Lord is its finality.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa Mola wako Mlezi ndio mwisho wake.
Ujuzi wa hayo uko kwa Mola wako Mlezi tu, si kwa mwenginewe. (Nabii Isa a.s. ambaye Wakristo wanasema ni Mwana wa Mungu, au ndiye Mungu, pia anasimuliwa katika Biblia kuwa hakuijua Saa na Siku ya Kiyama. Injili ya Mathayo inanukulu maneno ya Yesu: -Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.-)
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ni vyeo hivyo vinavyo toka kwake, na maghfira na rehema. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi
- Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa watu wakosefu,
- Shika Sala jua linapo pinduka mpaka giza la usiku, na Qur'ani ya al fajiri. Hakika
- Na ukinyanyua sauti kwa kusema... basi hakika Yeye anajua siri na duni kuliko siri.
- Na hakika bila ya shaka tulimpa Musa Kitabu baada ya kwisha ziangamiza kaumu za mwanzo,
- Au atawaidhika, na mawaidha yamfae?
- Na tukawaokoa wao na watu wao kutokana na dhiki kubwa.
- Hakika haya ni malipo yenu; na juhudi zenu zimekubaliwa.
- Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!
- Na uwape khabari za wageni wa Ibrahim.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naziat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naziat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naziat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers