Surah Naziat aya 44 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Naziat aya 44 in arabic text(Those Who Tear Out).
  
   

﴿إِلَىٰ رَبِّكَ مُنتَهَاهَا﴾
[ النازعات: 44]

Kwa Mola wako Mlezi ndio mwisho wake.

Surah An-Naziat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


To your Lord is its finality.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwa Mola wako Mlezi ndio mwisho wake.


Ujuzi wa hayo uko kwa Mola wako Mlezi tu, si kwa mwenginewe. (Nabii Isa a.s. ambaye Wakristo wanasema ni Mwana wa Mungu, au ndiye Mungu, pia anasimuliwa katika Biblia kuwa hakuijua Saa na Siku ya Kiyama. Injili ya Mathayo inanukulu maneno ya Yesu: -Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.-)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 44 from Naziat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Lakini mkigeuka, basi mimi sikukuombeni ujira. Ujira wangu hauko ila kwa Mwenyezi Mungu. Na nimeamrishwa
  2. Au wanao washirika? Basi wawalete washirika wao wakiwa wanasema kweli.
  3. Na kauli itawaangukia juu yao kwa vile walivyo dhulumu. Basi hao hawatasema lolote.
  4. Na vivi hivi tumemfanyia kila Nabii adui miongoni mwa wakosefu, na Mola wako Mlezi anatosha
  5. Na alikusanyiwa Sulaiman majeshi yake ya majini, na watu, na ndege; nayo yakapangwa kwa nidhamu.
  6. Mwenyezi Mungu ndiye anaye zituma pepo zikayatimua mawingu, kisha akayatandaza mbinguni kama apendavyo. Na akayafanya
  7. Amenipoteza, nikaacha Ukumbusho, baada ya kwisha nijia, na kweli Shet'ani ni khaini kwa mwanaadamu.
  8. Wakasema: Ole wetu! Hakika sisi tulikuwa madhaalimu.
  9. Na wale walio jitahidi kuzipinga Ishara zetu wakaona watashinda, hao watapata adhabu mbaya yenye uchungu.
  10. Kila mtu analo kundi la malaika mbele yake na nyuma yake linamlinda kwa amri ya

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Naziat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Naziat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naziat Complete with high quality
Surah Naziat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Naziat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Naziat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Naziat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Naziat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Naziat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Naziat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Naziat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Naziat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Naziat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Naziat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Naziat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Naziat Al Hosary
Al Hosary
Surah Naziat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Naziat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, September 11, 2025

Please remember us in your sincere prayers