Surah Muminun aya 78 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Muminun aya 78 in arabic text(The Believers).
  
   

﴿وَهُوَ الَّذِي أَنشَأَ لَكُمُ السَّمْعَ وَالْأَبْصَارَ وَالْأَفْئِدَةَ ۚ قَلِيلًا مَّا تَشْكُرُونَ
[ المؤمنون: 78]

Na Yeye ndiye aliye kuumbieni kusikia na kuona na nyoyo za kufahamu. Ni kuchache mno kushukuru kwenu.

Surah Al-Muminun in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And it is He who produced for you hearing and vision and hearts; little are you grateful.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na Yeye ndiye aliye kuumbieni kusikia na kuona na nyoyo za kufahamu. Ni kuchache mno kushukuru kwenu.


Na yawaje mkamkufuri Mwenyezi Mungu na hali ni Yeye ndiye aliye kuumbieni usikizi mkaisikia Haki, aliye kupena uwezo wa kuona mkauona ulimwengu na viliomo ndani yake, na akakupeni akili mzingatie kwayo utukufu wake mpate kuamini? Hakika nyinyi hamumshukuru Mwenye kuumba vyote hivyo kwa Imani na utiifu ila kwa uchache tu, nao ni uchache mno!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 78 from Muminun


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na kwa namna hii tuliwainua usingizini wapate kuulizana wao kwa wao. Alisema msemaji katika wao:
  2. Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika! Anapo lihukumia jambo basi huliambia
  3. Mfano wa vile wanavyo vitoa katika uhai wao wa duniani ni kama upepo ambao ndani
  4. Na Daudi tukamtunukia Suleiman. Alikuwa mja mwema. Na hakika alikuwa mwingi wa kutubia.
  5. Au wanazo wao khazina za rehema za Mola wako Mlezi, Mwenye nguvu, Mpaji?
  6. Siku tutapo wakusanya wote pamoja, kisha tuwaambie walio shirikisha: Wako wapi washirikishwa wenu mlio kuwa
  7. Yeye ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita; kisha akakaa vyema juu ya
  8. Na hakika laana yangu itakuwa juu yako mpaka Siku ya Malipo.
  9. Hakika Mola wenu Mlezi ni Mwenyezi Mungu, ambaye ameziumba mbingu na ardhi kwa siku sita,
  10. Nao wamefuatishiwa laana hapa duniani na Siku ya Kiyama. Ni mabaya yalioje watakayo pewa!

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Surah Muminun Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Muminun Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Muminun Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Muminun Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Muminun Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Muminun Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Muminun Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Muminun Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Muminun Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Muminun Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Muminun Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Muminun Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Muminun Al Hosary
Al Hosary
Surah Muminun Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Muminun Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, February 22, 2025

Please remember us in your sincere prayers