Surah Rahman aya 35 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يُرْسَلُ عَلَيْكُمَا شُوَاظٌ مِّن نَّارٍ وَنُحَاسٌ فَلَا تَنتَصِرَانِ﴾
[ الرحمن: 35]
Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala hamtashinda.
Surah Ar-Rahman in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
There will be sent upon you a flame of fire and smoke, and you will not defend yourselves.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mtapelekewa muwako wa moto na shaba; wala hamtashinda.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Nenda, wewe na ndugu yako, pamoja na ishara zangu, wala msichoke kunikumbuka.
- Na kama hivi ndivyo tunavyo ingiza katika nyoyo za wakosefu.
- Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!
- Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
- Au wanazo khazina za Mola wako Mlezi au wao ndio wenye madaraka?
- Ewe Daudi! Hakika Sisi tumekufanya wewe uwe Khalifa katika nchi. Basi wahukumu watu kwa haki,
- Na kila umma una Mtume. Alipo wajia Mtume wao walihukumiwa baina yao kwa uadilifu, wala
- Wala haikuwa Ibrahim kumtakia msamaha baba yake ila kwa sababu wa ahadi aliyo fanya naye.
- Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.
- Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwaacha Waumini katika hali mliyo nayo mpaka apambanue wabaya na wema.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Rahman with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Rahman mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Rahman Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



