Surah Yasin aya 47 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yasin aya 47 in arabic text(yaseen).
  
   
ayat 47 from Surah Ya-Sin

﴿وَإِذَا قِيلَ لَهُمْ أَنفِقُوا مِمَّا رَزَقَكُمُ اللَّهُ قَالَ الَّذِينَ كَفَرُوا لِلَّذِينَ آمَنُوا أَنُطْعِمُ مَن لَّوْ يَشَاءُ اللَّهُ أَطْعَمَهُ إِنْ أَنتُمْ إِلَّا فِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ﴾
[ يس: 47]

Na wanapo ambiwa: Toeni katika aliyo kupeni Mwenyezi Mungu, walio kufuru huwaambia walio amini: Je! Tuwalishe ambao Mwenyezi Mungu angependa angeli walisha mwenyewe? Nyinyi hammo ila katika upotofu ulio dhaahiri.

Surah Ya-Sin in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And when it is said to them, "Spend from that which Allah has provided for you," those who disbelieve say to those who believe, "Should we feed one whom, if Allah had willed, He would have fed? You are not but in clear error."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na wanapo ambiwa: Toeni katika aliyo kupeni Mwenyezi Mungu, walio kufuru huwaambia walio amini: Je! Tuwalishe ambao Mwenyezi Mungu angependa angeli walisha mwenyewe? Nyinyi hammo ila katika upotofu ulio dhaahiri.


Na wakiambiwa: Wapeni mafakiri kutokana na hicho alicho kuruzukuni Mwenyezi Mungu, makafiri huwaambia Waumini: Je! Tuwalishe watu ambao Mwenyezi Mungu Mwenyewe angeli taka angeli walisha? Hivyo inakuwa tunamfanyia inda Mwenyezi Mungu kwenda kinyume na mapenzi yake! Nyinyi mnao taka tutoe, si chochote ila mmo katika upofu ulio wazi, hamuioni Haki.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 47 from Yasin


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
    Surah Yasin Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Yasin Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Yasin Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Yasin Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Yasin Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Yasin Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Yasin Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Yasin Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Yasin Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Yasin Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Yasin Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Yasin Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Yasin Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Yasin Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Yasin Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers