Surah Shuara aya 113 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنْ حِسَابُهُمْ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّي ۖ لَوْ تَشْعُرُونَ﴾
[ الشعراء: 113]
Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Their account is only upon my Lord, if you [could] perceive.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!.
Hapana wa kuwalipa kwa vitendo vyao na kazi zao ila Mola wangu Mlezi; kwani Yeye ndiye anaye yajua vyema ya undani wao. Kama nyinyi ni watu watambuzi mngeli tambua hayo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
- Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,
- Ndio hivyo hivyo. Na Sisi tulizijua vilivyo khabari zake zote.
- Na ambaye ndiye aliye umba katika kila kitu jike na dume, na akakufanyieni marikebu na
- Na hii ndiyo Njia ya Mola wako Mlezi Iliyo nyooka. Tumezipambanua Aya kwa watu wanao
- AKASEMA: Je! Sikukwambia kwamba hakika wewe huwezi kuvumilia kuwa pamoja nami?
- Na Mwenyezi Mungu amekukunjulieni ardhi kama busati.
- Na hatukuwateremshia kaumu yake baada yake jeshi kutoka mbinguni, wala si wenye kuteremsha.
- Kumbuka alipo kuonyesha usingizini mwako kwamba wao ni wachache - na lau angeli kuonyesha kuwa
- Na haiwi kwa wana-mji tulio uangamiza, ya kwamba hawatarejea,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



