Surah Yasin aya 46 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَمَا تَأْتِيهِم مِّنْ آيَةٍ مِّنْ آيَاتِ رَبِّهِمْ إِلَّا كَانُوا عَنْهَا مُعْرِضِينَ﴾
[ يس: 46]
Na haiwafikii Ishara yoyote katika Ishara za Mola wao Mlezi ila wao huwa ni wenye kuipuuza.
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And no sign comes to them from the signs of their Lord except that they are from it turning away.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na haiwafikii Ishara yoyote katika Ishara za Mola wao Mlezi ila wao huwa ni wenye kuipuuza.
Na haiwajii hoja katika hoja za Mola wao Mlezi, yenye kuonyesha Upweke wa Mwenyezi Mungu na uweza wake, ila wao huipa nyongo, hawaijali.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi hawakuweza kuukwea, wala hawakuweza kuutoboa.
- Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.
- Mwenyezi Mungu amekwisha pokea toba ya Nabii na Wahajiri na Ansari walio mfuata katika saa
- Au wanayo ilimu ya ghaibu, nao wameandika?
- Basi ingia miongoni mwa waja wangu,
- Nami najitenga nanyi na hayo mnayo yaabudu badala ya Mwenyezi Mungu. Na ninamwomba Mola wangu
- Ili tukuonyeshe baadhi ya ishara zetu kubwa.
- Sema: Enyi makafiri!
- Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
- Na katika ardhi zipo Ishara kwa wenye yakini.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers