Surah Muminun aya 48 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَكَذَّبُوهُمَا فَكَانُوا مِنَ الْمُهْلَكِينَ﴾
[ المؤمنون: 48]
Basi wakawakanusha, na wakawa miongoni mwa walio angamizwa.
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So they denied them and were of those destroyed.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi wakawakanusha, na wakawa miongoni mwa walio angamizwa.
Basi waliwafanya waongo katika huo wito wao, na wakawa wenye kuhiliki kwa kuzamishwa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! Hawaoni ya kwamba Mwenyezi Mungu, aliye ziumba mbingu na ardhi, na hakuchoka kwa kuziumba,
- Sema: Je nitafute Mola Mlezi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, na hali Yeye ndiye Mola Mlezi
- Na walisema: Hapana ila huu uhai wetu wa duniani - twafa na twaishi, na hapana
- Kadhaalika; na tukawarithisha hayo Wana wa Israili.
- Basi nikumbukeni nitakukumbukeni, na nishukuruni wala msinikufuru.
- La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.
- Hakika wanao mwogopa Mola wao Mlezi kwa ghaibu, watapata maghfira na ujira mkubwa.
- Nasi tukamfunulia Musa kumwambia: Tupa fimbo yako. Mara ikavimeza vyote vile walivyo vibuni.
- Na tungeli taka tunge wageuza sura hapo hapo walipo, basi wasinge weza kwenda wala kurudi.
- Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



